Utafiti wa ukweli utakaomwezesha mtu kupata shahada kubwa ya uzamivu (PhD)kamwe hawezi kuufanya na huku akifanya kazi ya uwaziri. Ina maana unamweka mtu akukusanyie data.
Kwa Wale mnaomkumbuka marehemu Edward Moringe Sokoine huyu aliacha kazi ya uwaziri mkuu akaenda iliyokuwa Yugoslavia kusomea...
Kujiamini sana ndiko kulikomponza Yuda Eskarioti aitwe msaliti hadi leo. Nigeria nao wolrdcup ya mwaka 1998 walijiamini sana wakaanza kucheza na Brazil kabla hawajacheza na Paraguay maana waliona teyari huyo wameisha mfunga matokeo yake wakapwiga bao 4- 1 wakafungasha vilago. Na Simba nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.