😀 Plate namba A chafu
Hivi sisi wa 2017 tutakua plate namba ipi, labda C. Nakumbuka naanza kubeti, Mbwana Samatta yupo Genk, Van Persie anachezea Feyernoord, Hans Van Haken ndo usajili mpya wa Club Brugge kwa Sasa ndo captain wa timu, dah nishakuwa mkongwe kwenye game na bado kanji kagoma...
Upo sahii
Upo sahihi mzee, ila inategemea na matumizi ya mtu. Binafsi Mimi ni heavy user natumia internet muda mwingi hata mpira naangalia kupitia internet, nishaacha kulipia ving'amuzi mechi zote mpaka za NBC premier league naangalia online kupitia fawanews.com. kwaiyo kama wewe ni heavy user...
Uliyoongea ukweli mtupu. Yule kipa ni shati kabisa. Barker amewaonyesha viongozi aina gani ya wachezaji wa kusajili. Siku akiondoka Simba itarudi kwenye sajili za akina Mutale. Pale uongozi una shida.
Huo Uzi ni wa leo upo hapo jukwaa la sports, shuka chini mtafute huyo chizi Red Black. Yan huyo jamaa anajifanya habet ila anaingia Uzi wa mikeka kufanya nini, si uongo huo!!
Labda hutumii SPORTYBET mara kwa mara, ila kama unatumia na wanakupuna lazma wakupe. Kwenye mechi za mwisho za Uefa league phase walitupuna sana wakatoa gift mlima, Mimi walinipa gift ya laki 3 alhamisi halaf kesho yake wakanipa laki 2. Ila kwa mihemko na hasira za kupigwa, nikapunwa na hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.