Recent content by KOROSHO BOMBA

  1. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    😀 Plate namba A chafu Hivi sisi wa 2017 tutakua plate namba ipi, labda C. Nakumbuka naanza kubeti, Mbwana Samatta yupo Genk, Van Persie anachezea Feyernoord, Hans Van Haken ndo usajili mpya wa Club Brugge kwa Sasa ndo captain wa timu, dah nishakuwa mkongwe kwenye game na bado kanji kagoma...
  2. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duh kanji kachoropoka na hapa 🙌🙌
  3. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Upo sahii Upo sahihi mzee, ila inategemea na matumizi ya mtu. Binafsi Mimi ni heavy user natumia internet muda mwingi hata mpira naangalia kupitia internet, nishaacha kulipia ving'amuzi mechi zote mpaka za NBC premier league naangalia online kupitia fawanews.com. kwaiyo kama wewe ni heavy user...
  4. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi kumbe betting ipo Bongo Tangu 2003 ? Mi nimeijua 2014, nimeanza kucheza 2017.
  5. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Kipa atatupa sare nyingi sana, kwa huyu straika ni bora Mstaafu John Bocco arudishwe tena kikosini

    Uliyoongea ukweli mtupu. Yule kipa ni shati kabisa. Barker amewaonyesha viongozi aina gani ya wachezaji wa kusajili. Siku akiondoka Simba itarudi kwenye sajili za akina Mutale. Pale uongozi una shida.
  6. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Fungua mechi husika, Kisha angalia juu kushoto utaona BB ndo hapo Bet builder.
  7. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii picha vipo vitu vitano wanaume wengi tunavipenda, vitaje

    Nimeona vinne Pombe, soka, makalio na gari.
  8. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Ligi Kuu ya Tanzania kutumia mfumo wa 'Video Support' (VS) badala ya VAR msimu ujao

    Kabisa Halaf lile jamaa ni Yanga? Hovyo kabisa lile.
  9. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    😆 Huyo mwamba hanaga habari na mtu, we utapiga miluzi mpaka uchoke, yeye hajibu kitu ni mikeka tu.
  10. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Safi unautendea haki huu Uzi, Kuna kipindi flani Uzi ulijaa mipasho tukakimbia.
  11. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Oh Pacome,pole sana

    Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza.
  12. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huo Uzi ni wa leo upo hapo jukwaa la sports, shuka chini mtafute huyo chizi Red Black. Yan huyo jamaa anajifanya habet ila anaingia Uzi wa mikeka kufanya nini, si uongo huo!!
  13. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukila wanakata unabaki na faida tu
  14. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Labda hutumii SPORTYBET mara kwa mara, ila kama unatumia na wanakupuna lazma wakupe. Kwenye mechi za mwisho za Uefa league phase walitupuna sana wakatoa gift mlima, Mimi walinipa gift ya laki 3 alhamisi halaf kesho yake wakanipa laki 2. Ila kwa mihemko na hasira za kupigwa, nikapunwa na hizo...
Back
Top Bottom