Uliyoongea ukweli mtupu. Yule kipa ni shati kabisa. Barker amewaonyesha viongozi aina gani ya wachezaji wa kusajili. Siku akiondoka Simba itarudi kwenye sajili za akina Mutale. Pale uongozi una shida.
Huo Uzi ni wa leo upo hapo jukwaa la sports, shuka chini mtafute huyo chizi Red Black. Yan huyo jamaa anajifanya habet ila anaingia Uzi wa mikeka kufanya nini, si uongo huo!!
Labda hutumii SPORTYBET mara kwa mara, ila kama unatumia na wanakupuna lazma wakupe. Kwenye mechi za mwisho za Uefa league phase walitupuna sana wakatoa gift mlima, Mimi walinipa gift ya laki 3 alhamisi halaf kesho yake wakanipa laki 2. Ila kwa mihemko na hasira za kupigwa, nikapunwa na hizo...
Pamoja mkuu, nimechukua slip zako 2 hapo juu 6B0AMQ na 5KQU2E ziko poa, ila hii 6NHXQA hapana aisee tutamchangia kanji tu hapo, umetembea na vibonde watupu mpaka kuna fala amefungua Uzi anaiponda betting kwa reference ya hiyo code Yako. Ila huyo fala ajue yote yanawezekana kwenye betting. Hapo...
Na search hayo majina ya channel sizipati.
JINSI YA KU SHARE
Ingia kwenye hiyo channel, click zile dots tatu pale juu kulia, click share, copy link, paste hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.