Recent content by KOROSHO BOMBA

  1. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Kipa atatupa sare nyingi sana, kwa huyu straika ni bora Mstaafu John Bocco arudishwe tena kikosini

    Uliyoongea ukweli mtupu. Yule kipa ni shati kabisa. Barker amewaonyesha viongozi aina gani ya wachezaji wa kusajili. Siku akiondoka Simba itarudi kwenye sajili za akina Mutale. Pale uongozi una shida.
  2. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Fungua mechi husika, Kisha angalia juu kushoto utaona BB ndo hapo Bet builder.
  3. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii picha vipo vitu vitano wanaume wengi tunavipenda, vitaje

    Nimeona vinne Pombe, soka, makalio na gari.
  4. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Ligi Kuu ya Tanzania kutumia mfumo wa 'Video Support' (VS) badala ya VAR msimu ujao

    Kabisa Halaf lile jamaa ni Yanga? Hovyo kabisa lile.
  5. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    😆 Huyo mwamba hanaga habari na mtu, we utapiga miluzi mpaka uchoke, yeye hajibu kitu ni mikeka tu.
  6. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Safi unautendea haki huu Uzi, Kuna kipindi flani Uzi ulijaa mipasho tukakimbia.
  7. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Oh Pacome,pole sana

    Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza.
  8. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huo Uzi ni wa leo upo hapo jukwaa la sports, shuka chini mtafute huyo chizi Red Black. Yan huyo jamaa anajifanya habet ila anaingia Uzi wa mikeka kufanya nini, si uongo huo!!
  9. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukila wanakata unabaki na faida tu
  10. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Labda hutumii SPORTYBET mara kwa mara, ila kama unatumia na wanakupuna lazma wakupe. Kwenye mechi za mwisho za Uefa league phase walitupuna sana wakatoa gift mlima, Mimi walinipa gift ya laki 3 alhamisi halaf kesho yake wakanipa laki 2. Ila kwa mihemko na hasira za kupigwa, nikapunwa na hizo...
  11. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo safi, kwa punter king hapo nimekutana na bahati ya give away ya elf 13.
  12. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pamoja mkuu, nimechukua slip zako 2 hapo juu 6B0AMQ na 5KQU2E ziko poa, ila hii 6NHXQA hapana aisee tutamchangia kanji tu hapo, umetembea na vibonde watupu mpaka kuna fala amefungua Uzi anaiponda betting kwa reference ya hiyo code Yako. Ila huyo fala ajue yote yanawezekana kwenye betting. Hapo...
  13. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na search hayo majina ya channel sizipati. JINSI YA KU SHARE Ingia kwenye hiyo channel, click zile dots tatu pale juu kulia, click share, copy link, paste hapa.
  14. KOROSHO BOMBA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Zile ni hela zetu walizokula pumbav wale, ukiwala hawakupi gift, usipodeposit wiki nzima hawakupi pia.
Back
Top Bottom