Recent content by Kopera Mwigamba

  1. Kopera Mwigamba

    Je, niamini mageuzi?

    Ikiwa mageuzi ni nadharia ya kweli, basi maisha hayana kusudi la kudumu. Ikiwa uumbaji ni fundisho la kweli; je, tunaweza kupata majibu yenye kuridhisha kwa maswali kuhusu uhai na wakati ujao?
  2. Kopera Mwigamba

    Kupigwa kwa Mwanafunzi: Je, Mawaziri wetu hawana kazi?

    Yaelekea wewe hujaelewa alichokuwa ana maanisha mleta mada. Si kwamba shapisho lake lina lenga kuunga mkono ukatili uliofanywa na walimu wale, isipokuwa anaeleza jinsi tukio hilo lilivyo chukuliwa kwa uzito zaidi na viongozi mbalimbali wa ngazi za juu kana kwamba ni tukio la kutisha sana.
  3. Kopera Mwigamba

    Gharama za data, airtel, halotel, smart, tigo & voda

    Wewe hujui nini utafanya ukipewa hizo GB 100, lakini wanao lalamika wanajua nini watafanya wakizipata.
  4. Kopera Mwigamba

    Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

    [emoji12] [emoji3] [emoji3]
  5. Kopera Mwigamba

    How To Use Your Time Well

    So that you can find time to do meaningful things, must understand what it is. It would be easy to do if you recognize the difference between things that are most important to you, your projects, and performance that will help achieve these projects. First, identify the factors most important...
  6. Kopera Mwigamba

    Kwanini tunasoma? Au tunasoma ili tuweje?

    Wanajamii, swali hilo nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara; kwamba mtu amesoma tena kafika gazi za juu kabisa mf. (Diploma, Digree Masters) etc. Bado ametumia mda mwingi kuitafuta taaluma aliyonayo, amtumia mtaji mkubwa kabisa; mtaji ambao huenda uliathiri sehemu kubwa katika familia yake. Lakini...
  7. Kopera Mwigamba

    Rais Jakaya Mrisho Kikwete nitakuwa mtu wa mwisho kukuelewa

    Duh! Mambo hayooo... Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Back
Top Bottom