Recent content by Kool the gang

  1. K

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Na Miaka 27 mkuu. Vp hakuna nafasi kwa watu wa umri huo?
  2. K

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Mkuu Kalaga Baho Nongwa binafsi nikibahatisha trainee ya upishi au receptionist nitafurahi sana.... Anyways hivi wapishi na ma receptionist wanalipwa kiasi gani uko mkuu Zenji?
  3. K

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Bora nifanye kazi za hotelini aisee.
  4. K

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Mazee Kalaga Baho Nongwa nakutegemea sana katika hili.
  5. K

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Mkuu ukipata hizo nafasi za TRAINEE huko mashambani za kuanzia mwezi wa nne tujurishe mkuu.....elimu form 4...... English yangu ni kama ya Obama Haina makandokando kama ya kinaijeria.
  6. K

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Mkuu ukipata fursa za TRAINEE kwenye hoteli yoyote Ile naomba utujuze.
  7. K

    Hamisa Mobetto anafanya kazi gani inayompa umaarufu mkubwa nchini?

    Video vixen ambaye amechange na kuwa prostitute wa viwango vya juu kibongobongo mkuu, From Diamond to Majizzo to Rick rozee to Aziz K and the list goes on, by the way Diamond ndiye aliyempa huyu binti umaarufu.
  8. K

    Nasubiria kwa hamu vita ya Ukraine iishe nikatafute kazi

    Dah! Mkuu Urusi bado anashua mabomu yake ujue.
  9. K

    Nasubiria kwa hamu vita ya Ukraine iishe nikatafute kazi

    Kwa Serikali hii mkuu futa wazo, kwasasa wao wanawaza uchaguzi tu.
  10. K

    Nasubiria kwa hamu vita ya Ukraine iishe nikatafute kazi

    Ngoja tuwasubirie wazee wa majuu, hao niliowatagi binafsi passport ninayo na nauri ninayo labda waninyime viza tu mkuu.
  11. K

    Nasubiria kwa hamu vita ya Ukraine iishe nikatafute kazi

    Binafsi sijui vita vya Ukraine itaisha lini, lakini naimani Kwamba Ile vita siku ikiisha tu, kutakuwa na ujenzi mkubwa sana wa miundombinu chini ya ufadhili wa nchi washirika wa Ukraine, ambao ni USA na mataifa ya EU, hivyo manpower kubwa sana itahijika na kazi zitakuwa nyingi sana za ujenzi...
  12. K

    Wenyeji wa Dar msaada wenu

    Wabongo wamemsakama mpaka msela kapotea dah! Noma sana.
  13. K

    Wenyeji wa Dar msaada wenu

    Usikute wajanja walimuingiza mjini Jana usiku🤣🤣🤣
Back
Top Bottom