Hata kama na Leo wilayani rungwe Tky mkon mby alichokifanya kwel ccm mmeixhiwa mbinu...kuwachukua wanafunzi mashuleni et waongeze idad uwanjan ionekane ana watu weng..kumbe hamna kitu...pole xana jiran pombe karibu kwetu ukawa maana huku hatukodi watu wala kugawa xare....tunachokifanya tunauza t...
Usiseme anapendwa muulize huyo kufuli kama Leo asingechukua wanafunzi wa sekondari wilayan rungwe Tky mby angekuwa na watu wangap maana ni aibu!!!!!!!!! Kama had wanafunz wanaacha maxomo na kushiriki kampeni za wagombea urais et ionekane kuna watu wengii....teh...teh,....hiyo namba mnaixoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.