Recent content by Konseli Mkuu Andrew

  1. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

    Naijua kwa uchache hiyo security company ambayo chimbuko lake ni huko American nahisi, ndani Kuna wasomi kibao Kuna hadi waandisi wapo ,wapo wadada wameajiriwa leo katika balozi mfano ni Japan Embassy ila walianza kama walinzi. Kila mtu ana namna yake ya kuyafikia mafanikio. Nimewahi kutana na...
  2. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

    Aahh aahh wanaimba "leo ni leo jeshi la Garda ward leo ni leo" kumbe Lukumay ana mipango thabiti ya kuwaumiza..
  3. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

    Mkakinukishe pale Mikocheni kwa Mwinyi na PR24 zenu.
  4. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jeshi la Polisi halihusiki ila linastahili kuwajibika juu ya utekaji na kuuawa kwa wananchi

    Unakumbuka miaka ya mwanzoni mwa 2000 uhalifu ulikisiri na majambaz walitumia silaha nzito nzito?
  5. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jeshi la Polisi halihusiki ila linastahili kuwajibika juu ya utekaji na kuuawa kwa wananchi

    Ukashindwa kumiliki bastora, nunua hata Teaser
  6. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jeshi la Polisi halihusiki ila linastahili kuwajibika juu ya utekaji na kuuawa kwa wananchi

    Ni raia wa kawaida kama ulivyo wewe. Ni haki yangu kutoa maoni kama katiba inavyotaka, toa na Yako.
  7. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jeshi la Polisi halihusiki ila linastahili kuwajibika juu ya utekaji na kuuawa kwa wananchi

    Sina Imani na mtu yoyote mkuu.Najiamini mimi tuu
  8. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jeshi la Polisi halihusiki ila linastahili kuwajibika juu ya utekaji na kuuawa kwa wananchi

    Kwa kanuni na Sheria ndani ya Jamhuri ya Tanzania, jeshi la Polisi Tanzania ndio lenye mamlaka ya kulinda raia na mali zake, hivyo vitendo vya wanananchi kutekwa na kuuawa jeshi ili linatakiwa kupokea lawama juu yake na kukabiliana nazo kikamilifu. Ni aibu sana tena kama wauni wanadiriki...
  9. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Huyu Mfalme Charles ana dharau sana au anamaanisha nini?

    Blessed One, Mbelwa Kairuki. Mtu kazaliwa Tanzania ila siku alizokaa Tanzania zinahesabika.Blessed One
  10. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Nasikitika ninaposikia mafanikio ya TAKUKURU kuwafikisha watuhumiwa mahakamani bila matokeo ya hukumu kwa watuhumiwa wa rushwa

    Kwa mujibu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara 107A(1) inayotamka kama ifuatavyo: "Mamlaka ya utoaji haki katika Jamhuri ya Muungano itakuwa mikononi mwa Idara ya Mahakama na Idara ya Mahakama ya Zanzibar, na kwa hiyo hakuna chombo cha Seriikali wala cha Bunge au Baraza la...
  11. Konseli Mkuu Andrew

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Zanzibar inasemaje ikitokea Rais aliye madarakani akafariki dunia, Makamu wa kwanza wa Rais ndio anaapishwa kuwa Rais wa Zanzibar?

    Makamu wa pili wa Raisi ZANZIBAR ni mwanaCCM na ni mlezi wa CCM mkoa wa Tanga
Back
Top Bottom