Hivi majuzi tumeshuhudia msemaji wa Jeshi akitangaza nafasi za kuandikisha vijana Jeshini pamoja na sifa na vitu vyengine kuhusiana na maombi hayo. Pamoja na hayo ameelezea utaratibu kwa waombaji wa nafasi hizo,bila kuanisha utaratibu wa kutuma maombi hayo kwenda Makao makuu ya jeshi Dododma...
Kwani hao wengine wanaoleta malalamiko humu huwa hawana hizo internal procedure?
Kila taasisi ina internal procedure,shida ni kwamba how is it effective!!
Mimi niliwahi kutokuwekewa mark ya somo ambalo nilifanya mtihani,nimelalamika ngazi zote mpaka leo,hapa najiandaa tu nifungue kesi...
Sasa ikiwa wewe hujapitia hiyo changamoto,kwa hiyo kilichowasilishwa hapo ni uongo au,hii ndio shida ya magraduate wetu ndio maana mnaambiwa mwende VETA.
Na ndio unasema una LLB hapo ulipo!!
Tunachoongelea hapa ni ajira,sio siri za kiutendaji.
Ajira siku zote hainaga siri,kwa kuwa ni jambo la umma.
Sasa labda utuambie usiri wa ajira upoje??
Kuna mambo hamuyaelewi,na sijui itachukuwa muda gani kuyaelewa.
Maana wanaosimamia misimamo thabiti ya kidini wanaitwa watu wa itikadi kali,kinyume chake ni manabii wa uongo na masheikh ubwabwa.
Wanaosimamia matakwa na maslahi ya umma wanaitwa wanaharakati,nao pia wanachukiwa kama...
Hayo ni machache kati ya maovu unayoyafahamu.
Watu wengi wanachoangalia ni kwamba hawawaoni wanajeshi barabarani wakikagua magari.
Au kuingia mitaani na kukamata polisi.Hivyo wanawaona wanajeshi ni wema kuliko Polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.