Recent content by Kong Chi

  1. K

    DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

    Matundu ya choo na mafuta ya kula ni issue leo mnataka kupigana na Rwanda, kama mnataka kula ugali kwa mgawo na kutolipwa mishahara lianzisheni na Rwanda, nina uhakika ma man kagame atawafundisha na hamtarudia tena na vita za kichokozi kama Nyerere alivyomfundisha Iddi Amin
  2. K

    Wakristo na Waislamu ni watu waliopotea njia hasa kwa Afrika, kiufupi hawajielewi

    Naunga mkono hoja, weusi siku hizi wanamjua kristo kuliko wazungu waliowaletea, wazungu wengi waneshaacha hata kuamini hizo dini na kanisani wameacha kabisa kwenda, na kuna wale masheikh weusi wanamjua mtume kuliko waarabu na wako tayari kufa kutetea uislam
  3. K

    “Mwanyamala kwa wahaya” ni zaidi ya Sodoma na Gomora!

    Nothing interesting umetuonyesha video za giza tuu na opinion zako tuu, very poor production
  4. K

    “Mwanyamala kwa wahaya” ni zaidi ya Sodoma na Gomora!

    Jina la eneo halimaanishi hao wanawake wanaofanya biashara wote ni wahaya, please be clear about that hatutaki stereotyping
  5. K

    Tetesi: Isaya Olepose Laizer adaiwa kukamatwa na Polisi kwa kumkashifu Waziri Mkuu huko Club House

    Kuna umuhimu wa raia kumiliki bunduki, serikali inaweza kugeuka jambazi wakati wowote
  6. K

    Tetesi: Isaya Olepose Laizer adaiwa kukamatwa na Polisi kwa kumkashifu Waziri Mkuu huko Club House

    Acha nidhamu ya woga, ni kweli Waziri mkuu mtu muongo sana, ni watu kama wewe wanapita tuu pale
  7. K

    Benki zina kinga gani dhidi ya uchawi?

    Uchawi ungekuwa wa kweli biashara ya Bank ingekufa, hakuna uchawi ni michezo tuu kama mazingaombwe, na wachawi 99% ni mafukara wa kutupa hata ugali maharage kwao ni issue
  8. K

    USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

    Pole ndugu, ni rahisi sana kuanza kuingia kwenye hayo mambo ya kiimani ukipata matatizo, be strong na jaribu sana kushughulikia kila tatizo separate bila kuunganisha na lingine, na mara nyingi kwa experience yangu ukipata tatizo moja basi mengine yanafuata mpaka unaanza kujiuliza nina mkosi...
  9. K

    Nchi ya Chad inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja kwa dini zote, Nusu ya wanaume wakristo wana mke zaidi ya mmoja, Je ukristo unawabana wanaume?

    Oa hata kumi, kwa Tanzania hakuna sheria inazuia kuoa zaidi ya mke mmoja, ila kama ni mtu wa imani itategemea uko upande gani maana wengine unaweza kuoa zaidi ya mmoja (waislam) na wengine hawaruhusu kuoa hata mmoja ( Ukiwa padri wa katoliki huruhusiwi kuoa kabisa)
  10. K

    Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

    Ibilisi ni kama ngano za alfu lela ulela tuu, hata babu yangu alikuwa nazo nyingi tuu na moja naikumbuka ilikuwa kuna kilima kimoja ukikipita lazima uiname mara tatu usipofanya hivyo unaweza leta mikosi kwenye ukoo
  11. K

    Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

    Aliyetufundisha kuhusu yesu na shetani ndio huyo huyo aliyefundisha jua linazunguka dunia na binadamu tuliamini hivyo for thousands of years mpaka scientist walipokuja prove sio kweli ni dunia ndio inazunguka jua, mambo ya imani ni magumu kidogo
  12. K

    Peter Serukamba: Spika aache shobo

    Bahasha mgawane nauli 🤣 ..ni ngumu kuelewa labda uwe huna akili ndio utaelewa
Back
Top Bottom