Nina kiwanja Mapinga Bagamoyo 20 kwa 20.Kilomita Moja toka Barabarani.Mani umeme vipo na majirani wana nyumba za maana.0652409259.Kama utahitaji au yeyote anayehitaji.
Mwigulu chadema wanafanya ugaidi nitatoa ushahidi hata mbinguni!!akashindwa kwenye mahakama za duniani sasa mbinguni itakuwaje.Hawa ndo wanaitwa kuzindua kwaya na matamasha.
Hizi shule binafsi zimekuwa na mbinu nyingi za kula hela za wananchi.Watoto wakifika darasa la saba wanalazimishwa kwenda boarding kwa kisingizio cha kufakufaulu.Hizi shule ukiangalia wanaokuwa boarding wanafeli kuliko wanaoenda na kurudi.Lakini kwa uroho wa pesa wa wamiliki hata kama mtoto...
Hawa watu shida yao ni hela kwa hiyo kaka lazima upate kadi ya mwaliko ili mkiwa wengi burungutu liwe kubwa.Halafu hawataki kusikia habari na huko vijijini wao ni mjini tu.Ukienda kwenye makusanyiko yao unaambiwa kanisa unalotoka kuna wachawi kwa hiyo hamia kwao.Huu ni uhuni wa mjini wengine...
Hii hata Tanzania ipo kuna mmoja anaitwa Paulo Holela na mkewe hapo Haider Plaza ni vituko kwa kwenda mbele.Anaongea kama cherahani kila siku ni kutabiri
Wanaitwa usalama wa siasa na sio usalama wa taifa.Ukitaka kujua ndivyo mtukane waziri au Riz1 uone asubuhi kama hutakuta nyumba yako imezingirwa na magari meusi na wavaa suti nyeusi.
Hebu tuache tujisemee wenyewe binafsi mada za Mshana zinanipa raha na kujifunza zaidi!!maana zinamlenga mtazania alivyo,halafu akichangia Preta mtani wa Mshana inaleta raha zaidi haswa alivyogusia suala la ndafu.Hongera mMshana kwa elimu iliyofichwa sirini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.