Recent content by konalipin

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Congo DRC yaingia Top 10 ya Nchi zenye Uchumi Mkubwa Afrika Huku Tanzania na Ivory Coast zikiaga Ligi ya Wakubwa

    Sie tunaoua wananchi wetu wacha tuporomoke
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Sio Gambo tu zaidi ya makada 200 wa CCM kuhamia CHADEMA hii ni kwasababu CCM imeparaganyika tangu Oktoba 29

    Hujui kitu,hakutikisika? bila wizi wa kura ilikuwa ccm amepigwa
  3. K

    JamiiForums Tanzania Samia ni Mama

    Atatoka kwa njia za kisheria , kwanza kesi kwsha shinda unaoendelea ni uhuni tu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu Kivuli

    Na kuendelea kuubariki huu utawala haramu
  5. K

    JamiiForums Tanzania Heche: Lissu anaumwa sana Tumbo, nimeongea na mdogo wake

    Haya majitu lazima iwe hivo, polepole amepotea hivihivi na hawajali
  6. K

    JamiiForums Tanzania Heche: Lissu anaumwa sana Tumbo, nimeongea na mdogo wake

    Amen
  7. K

    JamiiForums Tanzania Chadema na Wajibu wa Kuheshimu Amani na Sheria

    Zack na Mwashambwa mshamba mna kazi ngumu sana
  8. K

    JamiiForums Tanzania Siasa za picha mitandaoni ni kujifariji na kujidanganya tu, kiukweli hazijawahi kusaidia chama chochote cha siasa kushinda uchaguzi.

    Unaongea nini wewe mama yenu alimwogopa mpaka Mpina ndio useme mna wapiga kura?mnalindwa na Tume tu
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kwa Wana JF na wataalam wa Magonjwa ya akili: Kwa anayoyafanya Yericko Nyerere mtandaoni mnadhani bado ana akili timamu?

    Ameuliza utimamu wa akili sio kama yuko sahihi?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Rais angesema kila mtu arudishiwe kodi yake aliyolipa nina uhakika ambao wangerudishiwa ni wachache

    Kama sie wabugia bia na mafegi tungerudishiwa fungu la kutosha tu. Na chalamila ni mtu wa bia sijui kasahau vip hili?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Kuhusu haki dini zote zinzsisitiza haki labda dini ya shetani, viongozi(wengine haramu) wetu ni warming wa dini zao lakini cha ajabu hawatendi haki
Back
Top Bottom