Recent content by konalipin

  1. K

    JamiiForums Tanzania Je, Kamati Ndogo ya Maadili Ina uwezo wa kumvua uanachama VP???

    Watafika huko ?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wakati dunia imekazana kuhamia kwenye magari ya umeme sisi tumekaza kuhamia magari ya gesi?

    Sasa gesi ambayo Magufuli alisema sio yetu ina unafuu gani?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Much know sana huyu mpare,shida ya marehemu hapo ni nini?kumuzuia tu kwenda kwenye hiyo kigodoro ni malezi sahihi kabisa
  4. K

    JamiiForums Tanzania Marekani Kusitisha Huduma za Kawaida za Visa katika Miji 25 ya Afrika, Dar es Salaam Kuwa Kitovu cha Kikanda

    Wewe uliandika kupotosha watu umesahihishwa unakuja na utetezi wa kipuuzi!Acha hizo
  5. K

    JamiiForums Tanzania Unabii wa mwezi wa 8

    Kuhusu kutoka?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje

    Njia ya mwongo ni fupi
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Unafanya utetezi baseless namna hii umelipwa bei gani?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Sio upeo mdogo na ujinga juu
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka aipiga teke ACT WAZALENDO. Hajawa clear na destination yake kisiasa. Lakini kwa alivyoisifia CHADEMA, namuona akitua huko..!

    Tena unaitwa Peter,huwezi kuchangamana na hao watu wana radha ya peke yao tu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hii Kitu haiwezi Kutokea KAMWE.

    Hata kama akihamia chadema hawezi kushinda kwa sababu atahama bila majeshi, atakaangwa kama alivyofanyiwa Lowasa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Polisi na Jeshi, ikitokea la kutokea, wanaowatuma hawatakufa mtakufa nyinyi, wananchi, ndugu zenu, watoto wenu, wetu

    Hata huyu aliemuru vijana wauawe anajuta pia, Hujamuona alivyopoteza nuru na kukongoroka?
  12. K

    JamiiForums Tanzania Sawa Kikwete waweza kuwa huongozi nchi kwa remote ya Zanzibar lakini vetting ya 2015 itakutafuna

    Ana upole gani aruhusu mauaji ya kiwango kile?
  13. K

    JamiiForums Tanzania Sawa Kikwete waweza kuwa huongozi nchi kwa remote ya Zanzibar lakini vetting ya 2015 itakutafuna

    Huyu kazibgua hata juzi kwenye chama chao kutoruhusu ushindani jambo ambalo polepole alilipigia kelele sana mpka akaangamizwa
Back
Top Bottom