Lo! hapana nina mabanda hayana vifaranga wagenipatia hata 1000 nigejitahidi kupata chakula .Kweli walishidwa hata kututangazia watu wa Dar hata watuuzie kwa 500 wasingekosa wateja. mm nilitamani kidogo nipige ukunga nilivyoona ule moto. hawakuwaza vyema.yule mmliliki hata sikumuelewa.
Hiyo ya mdudu nilishuhudia kabisa kuna baba alipotea siku tatu kwenye huo msitu.Waliokuwa wanamtafuta walimkuta anaendelea nasafari kumshika mkono ndiyo akastuka amejichokea balaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.