Recent content by komsungu

  1. K

    Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

    Ni mkoa huo huo haina shida wapare wengi ndiyo waliajazana huko Moshi
  2. K

    Uteketezaji huu wa vifaranga ni unyama uliopitiliza

    Lo! hapana nina mabanda hayana vifaranga wagenipatia hata 1000 nigejitahidi kupata chakula .Kweli walishidwa hata kututangazia watu wa Dar hata watuuzie kwa 500 wasingekosa wateja. mm nilitamani kidogo nipige ukunga nilivyoona ule moto. hawakuwaza vyema.yule mmliliki hata sikumuelewa.
  3. K

    Ninaishi kwangu (nimejenga) ila sina furaha

    Kumebana sana! space ndogo labda ndiyo kinamkosesha raha.
  4. K

    Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

    Mdogo wake Rosemary mkuu wa Dom dada kashuka mdogo kapanda familia zenye bahati zao
  5. K

    Wanawake wa Kisabato ndio wanaoiishi Injili

    Ha,ha,haaa! hilo nalo neno tukijipamba kwa nje tusisahau kupamba miyoyo. maana mwingine hajipambi kwa nje ila ndani ameoza.
  6. K

    Mauzauza ndani ya msitu wa Shengena uliopo Wilayani Same

    Hapana kwenye huo msitu mengi ni kweli .pia kuna ngombe zinazurura tu kwenye huo msitu hazina mwenyewe na hakuna wakusubutu kuwaiba.
  7. K

    Mauzauza ndani ya msitu wa Shengena uliopo Wilayani Same

    Hiyo ya mdudu nilishuhudia kabisa kuna baba alipotea siku tatu kwenye huo msitu.Waliokuwa wanamtafuta walimkuta anaendelea nasafari kumshika mkono ndiyo akastuka amejichokea balaa.
  8. K

    Goba ni ushuani kuzidi Temeke na Chamazi

    WW UTAKUWA HUJAFIKA GOBA HIVI KARIBUNI.
  9. K

    Unamshangaa Masanja? Msome hapa JB Mpiana ujue maana ya uvumilivu kwenye mapenzi

    Omba Mungu Usione viumbe hawa wanasiri sana! unaweza usijue mpaka unaingia kaburini.
Back
Top Bottom