Recent content by Komba the Great

  1. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    ingekua hujalipwa tungesema akulipe bila VAT. Sasa kama ameshakulipa kutompa risiti yenye VAT unaweza hata ukapewa kesi ya Uhujumu Uchumi. We saizi tunza hiyo VAT Yao ufuatilie Taratibu. Siku wakikubananisha unakua unayo kesi inakua ndogo.
  2. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Changamoto utakayo Kumbana nayo, huyo mteja wako (Nest) lazima atataka Risiti yenye VAT. Ikitokea Umempa risiti haina VAT akibaini anaweza Vunja Mkataba, maana yeye kwenye Mchanganuo wa Malipo yake kwako Kuna 18% ya VAT anakua amekulipa ambayo wewe unatakiwa kupeleka TRA.
  3. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

    Hili Gazeti, vichwa vya Habari vyote ni vya Kibabe.
  4. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Shamba langu. Bustani ya ndoto zangu

    Mshana Jr Haya majani pembeni ya Miwa ni nini? Mimi kwangu yamejiotea, najua ni Kama majani pori mengine.
  5. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Unatafuta gari zuri la kuagiza nje ya nchi? Pita hapa

    Hii Mali bado Ipo?
  6. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Kinachotushinda Wabantu kuchora na kupanga miji ni nini?

    Ardhi Sio kipaumbele cha Serikali, Huwezi kupanga Ardhi ambayo siyo ya kwako. Tanzania tuna sheria ya Utwaaji Ardhi, Kabla ya kuchora Hayo maua unayo yaona na hivyo vibox, inatakiwa ulipe kwanza Fidia. Nani analipa hiyo fidia? Serikali Ardhi sio kipaumbele chake, hivyo fidia atalipa pale...
  7. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Mzee wa Msoga alikuwapo kumnadi Odinga kama nani?

    Kuna Chuma kiko nyuma ya Kaguta, unakionaje hicho, Pia huyu wa kwanza kulia mstari wa mbele, yeye ana Mkongojo kabisa.
  8. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Hivi kwanini waliita Matuta
  9. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Mfungwe mara Ngapi?
  10. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

    Its Comming Home, kama nawaona wanavyopumulia Mashine
  11. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya ulinzi na usalama barabarani , lichunguzeni haraka sana suala hili na kama ni kweli basi mfanye ufumbuzi ili kunusuru Maisha ya Watanzania

    Ni Hatari. Mimi niliwahi Kusikia Ipo Application ambayo inakuonesha Wapi Kuna Tochi, Labda itakua wameiboresha sasa.
  12. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Mathematician.
  13. Komba the Great

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Fundi saana Yule, Sema ndio hivyo Mwisho wa Zama,
Back
Top Bottom