Yaani nyie mnaopata pesa za burebure naona huwa mnakosa pakuzipeleka na matokeo yake zikibanwa ndo wa kwanza kulalamika maisha magumu!
Nilishawahi kusema humu usidhubutu kumsomesha mtoto wa MTU kwa lengo la kuja kuoa hakuna mahala popote hata katika maandiko palipoandikwa eti utamsomesha aje...
Poleeee! Kwanza kama una mshahara shukuru sana tumia mshahara ulionao kujikwamua haraka sana na wala usilalamikie kutoonhezwa mshahara hakuna mahala duniani mtu amewahi kuridhika na mshahara, kuna wengine take milion 4 lakin nao wanasema mshahara hautoshi, kuna watu wanapata hadi milion 7 nao...
2020 ccm inashinda SAA 4 asubuhi! Yaani kwenye uamzi wa 2020 wala upinzani usiwaze!
Hata wao wanalijua na tayari washaanza kuambizana 2020 uchaguzi hakuna wajipange 2025 hapo watatoka na kishindo na siyo kushinda pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
mgoloko
Inawezekana tu Kama bado unawaabudu weupe, mpe hongera sana kiongozi anaepigania ufisadi, hasara zote hizo zimeingia kwa sababu ya watu fulani kuguswa maslahi yao, hata escrow ingefunguliwa kipindi cha JK lazima angekuwa ameshinda kesi.
Tz tuna watu wa ajabu sana, yaani wanajiangalia...
Good!
Yaani mwanasheria wetu wengi wanahangaika na matumbo yao ya siyo maslahi ya nchi.
Mimi nadhani kuna haja ya kuwapitisha Jeshini wapige kwata mwaka mzima kabla ya kuthibitishwa wanasheria hapo ndipo uzalendo utawakaa.
Acha pombe basi!
Kesi nyingi ziliamriwa kwa maslahi ya kifisadi, kama lesen ilikuwa ilishaisha muda hadi wanakamatwa kwanini wsshinde kesi kama ndo zile Sera za kifisadi MTU unaamua kuchukua rushwa ili Taifa liangamie!
Waliotia hasara si magufuli Bali ni waliokuwa juu yake, tazama akina chenge...
Mwanaume haridhiki hata siku moja, unaweza kumpa haki yake usiku kucha na akakuwasha bao 8, lakin asubuhi akioga kujiandaa atoke mzikii unaanza kudai mambo tena ,je mpe tena atakuwasha 3 mfulilulizo na ataenda kuoga kisha ataondoka anaingia kwenye daladala kuona mdada mrembo kwenye kimin tu...
Wanaheshimu sana sema nyie mnamatatizo sana mkishaingizwa ndani mnaanza tabia tofauti na kipindi cha uchumba ,amani inaisha so mume anaamua kunusa nje kupunguza hasira.
So na wewe ndo muiba vya watu?
Mume wa mtu ni maziwa na mke wa mtu ni sumu.
Hivo kama wewe hujaolewa unaiba mume wa mtu haina mbaya maana unafuata maziwa,
Kibaya ni mwanaume kuiba mke wa mtu maana anafuata sumu.
Wewe inaonekana ndo hujui maana ya uteuzi, mkuu wa wilaya anateuliwa na Rais ,raisi anachanguliwa na wananchi nchini kote , kwa maana fupi kabisa mkuu wa wilaya anachaguliwa na wananchi indirectly through the president! Kwahiyo yuko sahihi kumtia ndani, jirani yako akimtukana baba yako unajisikiaje?
Huyu Dada ana Jeuri mbaya, speech zake full matusi, sijui hata waliomtuma bungeni kama wanafikiria sawa sawa jimbo zima walikosa wakuwawakilisha! Rubbish woman ,kaa huko hata upotee mazima kabisa, hatuna muda wa upuuzi sisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.