Recent content by Komaa

  1. K

    JamiiForums Tanzania App gani yenye uwezo wa kutengeneza maneno yaani transcripts kutokea kwenye video zilizo kwa lugha ya kiswahili?

    Wana JF habari Ni software gani au application gani ambayo naweza upload video au audio kwenye hiyo software halafu yenyewe ikanipa text yaani transcript yaani maneno yaliyosemwa kwenye hiyo video au audio. Hapa nazungumzia video/audio zenye matamshi ya kiswahili na zenye urefu wa masaa mawili...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa FX traders, mmeona dollar ilivyoanguka ghafla?

    The Burning Spear hii saa tisa na nusu mchana ni saa za hapa Tanzania? dah naihitaji sana hii info maana itanisaidia sana kwenye jambo langu. Natanguliza shukrani sana kwako kwa madini haya uliyoandika hapa JF. Mungu akubariki sana
  3. K

    JamiiForums Tanzania Microfinance ipi wana huduma nzuri za utoaji mikopo kwa dhamana kadi gari?

    Habari wana JF. Kwa ambaye amewahi pata mkopo kwenye hizi microfinance na akaridhika na huduma kwa maana ya huduma inayoendana na mkataba na isiyo na janjajanja naomba anijuze nipo Dar. Hapa nazungumzia mkopo kwa dhamana ya kadi ya gari. N.B Kwa sasa siwezi pata mkopo benki kwa maana ya...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Sure Bro, unajua tatizo baadhi ya waTz huvipa thamani za juu sana vitu vyao ilhali kiuhalisia siyo hivyo sasa utakuta mtu unataka upate tu idea ya gharama ya kitu fulani mf .ghorofa ndogo simple ya makazi (unakuta na anayehitaji msaada katoa na details za nyumba yenyewe kwa maana ya SQM) sasa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Shukrani sana kaka kwa moyo wako wa kukubali kutoa uzoefu Mungu akulinde maana unakuwa/utakuwa msaada kwa wengi maana dah nikisomaga comments za waja ni kama vile kujenga ghorofa ni jambo la kutisha wakati si hivyo.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Shukrani Bro nitakuja inbox nataka nipate uzoefu maana nina site yangu kigamboni sasa na nitakuwa na project ya ghorofa baadae So usinichoke
  7. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Ok bro, na kwenye nguzo zilitumika nondo za mm 12, au 16?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Bora wenye uzoefu mnatoa experience, kaka hili jengo lilikuwa na nguzo ngapi?
  9. K

    JamiiForums Tanzania China wamezindua 6th Gen Jet Figher inaitwa Baidi: Ina uwezo wa kuoperate kwenye air na Space!

    The United States is developing next-generation fighters, including Lockheed Martin's SR-72 Darkstar project, which aims to produce a hypersonic reconnaissance drone. Reports indicate that a test model could be ready by next year. The final version is expected to achieve a top speed of Mach 6...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Vilevile nimewaza inawezekana kwenye 1st floor ukatumia yale matofali yenye uwazi ndani, na pengine sijajua kitaalam inawezekana ule uwazi ukaongezwa zaidi kwa maana ya kumodify mold kuwa nyembamba zaidi ambapo wembamba utakuwa compesated na plaster kama ambayo umesema lengo hapa ni kupunguza...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Ok poa naja PM kuna vitu nataka nijifunze kwako maana angalau kuna stages wewe ushavuka. Nitakuwa na project ya kujenga kighorofa hapo baadae so sio mbaya nikajifunza kutokea kwako pia.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Slab yako ni hii ya kawaida ya vichanja vya nondo na zege ama ni ile ya kutumia pre casted slab zinapangwa then unaweka wire mesh na kumwaga zege?
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Hivi zile ceiling board za kizamani haziwezi tumika pia? kuna nyumba naifahamu wamefanya partioning ya hizo board tokea miaka ya 70 zipo vile vile au ndo moto ukitokea zitashika moto faster and so proposed solution ni kutumia gypsum board ambazo mafundi husema hazishiki moto Hechy Essy msaada...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Sawa hunaga baya Engineer wetu Mungu akulinde acha nikusanye nguvu then soon nakutafuta
  15. K

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Dah fursa hii ya kuanza kighorofa changu, nitakutafuta Engineer unichoree ramani na structural ila ujue kabisaa kwenye nguzo unanichorea structural drawings ya nondo za mm 12 na sio mm 16 kwenye nguzo na usiniwekee nguzo nyingi maana hela zenyewe za mawazo sanaaa 🤣😭😭 japo najua ushasemaga...
Back
Top Bottom