Recent content by Kolobaa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kama umeingia madarakani kwa dhuluma na ghilba, huwezi kufika 2025

    Dhuluma mbaya!
  2. K

    JamiiForums Tanzania Headline: Kanuni ya mawakala kutopewa fomu ya matokeo ni batili na ipuuzwe hivi

    Ni hila kila kona!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Yona atoswe baharini ili merikebu isizame

    Fasihi fasaha!hongera sana Kwa mistari sahihi!
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Utata wa muungano wa kisiasa (coalition) wa CHADEMA na ACT-Wazalendo katika macho ya Sheria

    Hii yote ni matokeo ya kutunga sheria za hila!
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    Akitoka kwenye hiyo kamati atakuwa ameimarika zaidi!Nenda Lisu nenda baba mkono wa Mungu Uko juu yako!
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Divine Power ndani ya Lissu si mchezo

    Uko sahihi kwa [emoji817]% kuna nguvu ya Mungu ndani yake!
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ni tanzi kwa utawala

    Uko sahihi kabisa! Kuna kitu ndani yake!
  8. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hatimaye Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba ameachia, atoa fomu kwa mgombea Ubunge halali wa CHADEMA

    Huyu hatasimamia kwa haki maana Nyota njema huonekana alfajiri!
  9. K

    JamiiForums Tanzania Utamaduni wa woga ndiyo umempa Lissu na Seif umashuhuri

    “Hebu tafuta shujaa ndani ya CCM kama Halima Mdee” Nimepapenda hapo Na umemtendea Halima haki yake!huyu dada ni wa mfano Kwa anachokiamini!
  10. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Makosa ya wakubwa yanavyomnufaisha Tundu Lissu

    Wanazidi kuwapa watu matamanio ya kutafuta kujua Lisu kaongea nini kila leo!lakini haya yote si bure kuna nguvu fulani ndani ya Lisu!muda utasema!
  11. K

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

    Ni jambo la muhimu sana!tupate nafasi ya kuwapima wagombea Kwa maswali .
Back
Top Bottom