Recent content by Kolobaa

  1. K

    Yona atoswe baharini ili merikebu isizame

    Fasihi fasaha!hongera sana Kwa mistari sahihi!
  2. K

    GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    Akitoka kwenye hiyo kamati atakuwa ameimarika zaidi!Nenda Lisu nenda baba mkono wa Mungu Uko juu yako!
  3. K

    GE2020 Divine Power ndani ya Lissu si mchezo

    Uko sahihi kwa [emoji817]% kuna nguvu ya Mungu ndani yake!
  4. K

    Tundu Lissu ni tanzi kwa utawala

    Uko sahihi kabisa! Kuna kitu ndani yake!
  5. K

    GE2020 Hatimaye Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba ameachia, atoa fomu kwa mgombea Ubunge halali wa CHADEMA

    Huyu hatasimamia kwa haki maana Nyota njema huonekana alfajiri!
  6. K

    Utamaduni wa woga ndiyo umempa Lissu na Seif umashuhuri

    “Hebu tafuta shujaa ndani ya CCM kama Halima Mdee” Nimepapenda hapo Na umemtendea Halima haki yake!huyu dada ni wa mfano Kwa anachokiamini!
  7. K

    GE2020 Makosa ya wakubwa yanavyomnufaisha Tundu Lissu

    Wanazidi kuwapa watu matamanio ya kutafuta kujua Lisu kaongea nini kila leo!lakini haya yote si bure kuna nguvu fulani ndani ya Lisu!muda utasema!
  8. K

    GE2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

    Ni jambo la muhimu sana!tupate nafasi ya kuwapima wagombea Kwa maswali .
Back
Top Bottom