Mbona unatumia nguvu bila sababu. Kitima hajaongea Wamasai kwamba ni Wakatoliki bali anaongelea haki zao ziheshimiwe. Sasa hayo mapovu ya nini. Pitia tena hoja zake alafu jipime na hicho unachotolea povu. Tuchambue hoja siyo kutanguliza ushabiki.
Instanbul ni kweli kabisa tatizo lililopo ni ushabiki badala ya kuchambua au kujibu hoja. Kama tungekuwa tunachambua na kujibu hoja tungejua ni kwa kiasi gani mambo aliyoongea Kitima yana uzito gani na manufaa gani. Tujifunze kuwa wachambuzi na siyo mashabiki.
Ufanisi ni mipango na mikakati, mimi nilifikiri DP ndiyo wapo Mombasa kumbe bla bla tu ili mradi uonekane unaongea kwenye media. Acheni kupigia debe watu wa nje, imarisheni ufanisi kwa kuwekeza kupitia Wizara.
Kuhusu kupakua mako
Kuhusu kupakua makontena 16 kama ndiyo yaliyopo mkuu unategemea mengine yatoke wapi? Labda kama unamaanisha kuna makonte yanabaki kwenye meli bila kushushwa sawa.
Tatizo halipo kwa Maprof bali kwako na wale wanaofikiri ukifika chuo basi kwenda viwanja na kusoma kwa kuletewa sms, wa aina hiyo lazima malalamiko yawepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.