ivi wewe mtu wa lumumba, roho haikusuti hata kwenye jambo la utu ka hili unaendekeza njaa zako, na ulaaniwe, humuonei huruma uyo mke wa lema, watoto, una endekeza njaa, mwogope hata mungu ka mwanadamu umeshampanda kichwani. some time inabidi muweke siasa pembenina mkaangalia hata utu, binafsi...