Recent content by kokosai

  1. kokosai

    Wakati ni sasa TFF kuitafutia Stars inter-continental friendlies

    Umeongea vzr.....sana ndugu yangu.... Nashangazwa sana binafsi na hawa TFF mechi nyingi za kirafiki za Taifa stars ni dhidi ya Sudan Ambao kwao Kuna vita...hawachezi mpira hawapo hata kwenye AFCON ya mwakani c masihara haya.....
  2. kokosai

    Rufaa katika Bodi ya Mikopo chuo kikuu

    Mm mwnyw nilifanya hvy mwaka jana Lkn wakanitupilia baharini, mwaka huu pia nataka nifanye hvyhvy bila kuchoka, huwenda ikawa bahati.........yk.
  3. kokosai

    Rufaa katika Bodi ya Mikopo chuo kikuu

    Unaweza andikiwa tu barua nzuri kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji au mtendaji kata, kukuelezea hali yako na familia yako, hvy kushindwa kuendelea na masomo, hlf anagonga mhuri wake unaiscan kama PDF unaiapload imeisha hy.......
  4. kokosai

    Rufaa katika Bodi ya Mikopo chuo kikuu

    Hapo wanazingua sana mkuu, Ila kinachotakiwa uende chuo ukasajiliwe kwnz ndp uappeal otherwise haiwezekani........
  5. kokosai

    Naomba ufafanuzi kwa hili la Mkopo kwa wanafunzi wa mwaka wa pili

    Naomba kufahamishwa wakuu, kwa continue student aliyepangiwa mkopo, inasemekana jina lake linapelekwa chuoni kwake, je akiingia kwenye SIPA ataona kama amekuwa allocated mkopo au la?
  6. kokosai

    Msaada: Nabonyeza wapi? Kukata rufaa ya mkopo bodi

    Wakuu maomba kufahamishwa, Hv kwa continue student, inasemekana jina lake la mkopo hutumwa chuoni, je akiingia kwenye SIPA ataona kama amekuwa allocated mkopo au la?
  7. kokosai

    Msaada: Nabonyeza wapi? Kukata rufaa ya mkopo bodi

    Kuanzia tarehe 2 Nov ndy watatoa muongozo namna ya kuappeal
  8. kokosai

    Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

    Huduma ile ya online copy now haipo wameifunga mkuu....
  9. kokosai

    Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

    [emoji120][emoji120][emoji120] sana kk nlkw napata shd sana pale aiseeehh
  10. kokosai

    Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

    Nida!nida!nida! Wakuu nina changamoto ya kutokuwa na kitambulisho cha taifa ila namba ya nida ninayo na kitambulisho changu bado hakijatoka hyv nafanyaje ili kumaliza appl, pale wanapohitaji copy ya kitambulisho cha nida.........?
  11. kokosai

    Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

    Wakuu msaada namna ya kulipia rita ile elfu 3 inakuwaje mbona nakwama?
  12. kokosai

    Naomba ufafanuzi kuhusu suala la mkopo kwa wanafunzi waliokata rufaa

    Jaaahhh!! Htr brz tumekwisha aiseeeh Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kokosai

    Naomba ufafanuzi kuhusu suala la mkopo kwa wanafunzi waliokata rufaa

    Jaaahhh!!! Nimeumia aiseeeh Sent using Jamii Forums mobile app
  14. kokosai

    Naomba ufafanuzi kuhusu suala la mkopo kwa wanafunzi waliokata rufaa

    Wajuzi, So niendelee kuwa na matumaini au niachane nao....?? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom