Recent content by kokandi

  1. K

    Hizi Radio ni za CCM?

    Askofu anajua anachotakiwa kufanya.ni kada wa ccm kwa kupitia kivuli cha dini.anaaibisha kanisa.nilitegemea angetoka jana kumbe yupo.ndio maana tulisikia kundi la 201 ni makada wa ccm leo imejidhihirisha kwa huyu askofu
  2. K

    Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

    Hivi Arusha kuna nini ccm inaking'ang'ania
  3. K

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    kazi imekuwa rahisi watu wanajitambulisha wenyewe
  4. K

    Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kwachafuka, Mkuu wa Mkoa apigwa mawe! Lema asakwa na polisi

    Mungu atamlinda lema,alishawatuliza wanafunzi wakatulia.Mungu atasimama katika haki.Lema nyota yake inang'aa.kwa arusha hawasikii lolote siku zote wana imani na lema.My GOD KEEP YOU.Godbless Lema
  5. K

    Hisia za wananchi wa Jimbo la Arusha (M), muda mfupi baada ya Lema kushinda rufaa

    Namshukuru Mungu kwa ajili ya Lema.Tunakuombea tunajua mtetezi wa watu sikuzote anapigwa vita.Hongera sana,hongera wana Arusha
Back
Top Bottom