Recent content by Kodjoe Borris

  1. Kodjoe Borris

    Naomba ushauri kama kuna tiba ya kunusuru mimba kuharibika

    Inategemea utainunua wapi mi nimeshuhudia hiyo dawa inauzwa 12000 kwa kidonge na kwenda kwingine ni 3500 tu na wengine hawaijui kabisaaa!! kwa hiyo experience yako sio final tembea ujionee!! ndio maana nikatahadharisha sipo hapa kubishana bei be wise madam!
  2. Kodjoe Borris

    Naomba ushauri kama kuna tiba ya kunusuru mimba kuharibika

    sipo hapa kubishana bei ya vidonge nilichojaribu ni kumtajia vidonge vinavyoweza kusave hio situation ambayo ndio highyl recommended kwa watu wenye tatizo kama lake
  3. Kodjoe Borris

    Naomba ushauri kama kuna tiba ya kunusuru mimba kuharibika

    Duphaston 10mg but asitumie bila ushauri wa daktari
  4. Kodjoe Borris

    Naomba ushauri kama kuna tiba ya kunusuru mimba kuharibika

    fettydia, Nakushauri kamuone Dr kapona katika clinic yake chanika buyuni naamini kwa uwezo wa mungu atakusaidia sababu alimsaidia mtu mwenye tatizo kama hilo na akajifungua salama tu
  5. Kodjoe Borris

    Tamthiliya ya Lies of The Heart (Doli Armanoon Ki

    Hellow wadau Naomba msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi nitapakua (download) au kuipata Tamthiliya ya kihindi ya Lies of The Heart (Doli Armanoon Ki) Version ya English au Kiswahili zikiwa full episode Na sio version ya kihindi maana najua ipo Youtube hio version ya kihindi. Asanteni
  6. Kodjoe Borris

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    Haya bwana nimekupa mfano nikajua utatafakari kumbe unaleta siasa tena kuwa "chama si kampuni"
  7. Kodjoe Borris

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    nice to meet you great thinker..have a nice mkuu tumeshare vizuri mawazo
  8. Kodjoe Borris

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    nice to meet you great thinker..have a nice mkuu tumeshare vizuri mawazo
  9. Kodjoe Borris

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    nice to meet you great thinker..have a nice mkuu tumeshare vizuri mawazo
  10. Kodjoe Borris

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    kwa hiyo we baba yako akianzisha kampuni akampa shemeji yako ukurugenzi hio kampuni itakuwa ya watu sio tena ya familia si ndio au?
  11. Kodjoe Borris

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    Kuhusu mimi kuhudhuria shughuli za jamii nashukuru najitahidi sana ninapokuwa na nafasi na hata kama sijafanikiwa basi lazima memba wa familia yangu atakuwepo hapo sasa ishu ya wananchi in general kuwa wazito kidogo ndugu yangu napata tabu kuamini maana katika moja ya sifa wanayojivunia...
  12. Kodjoe Borris

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    Umetisha mkuu na asante sana kwa kunipa ushuhuda wako kwa yale uliyojionea hakika nikiri wazi naheshimu sana mtu anapokiri juu ya mambo flani aliyoyashuhudia na ndio kwa hakika yanakupa msukumo ulio nao na mtazamo juu ya siasa za tz Much respect sana mdau! but mi ushauri wangu kwa upinzani...
  13. Kodjoe Borris

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    we unasema chama sio mali yake unaijua vizuri historia ya chadema wewe??
  14. Kodjoe Borris

    Kilimanjaro Stars yaaga rasmi CECAFA baada ya kufungwa na Rwanda goli 2-1. Hii Timu Inakera kuliko Kawaida

    kabisa ilimbidi atafute post japo njombe mji approve his quality
  15. Kodjoe Borris

    Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

    Umejaribu kujibu vizuri kihoja japo bado mimi ni muumini wa utendaji zaidi kuliko mvuto na ushawishi mfano Kuna mtu anaitwa Bashite huyu kimvuto na ushawishi yupo chini sana lakini mtu makini akipewa nafasi ya kumchagua huyu jamaa na mtu mwingine mwenye maneno matamu saaana unafikiri nani...
Back
Top Bottom