Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
Wafungwe KEKO halafu wasamehewe siku ya uhuru....
Jamani mmesahau brazil alipigwa 7 na ujeruman?tuache mambo yaendelee tu pengine 2040 tukaenda AFCON....Tuombe Mungu.Wametuchefua si kitoto, shwain zao
kweli huyo jamaa kuna kitu kajifunza badala ya yeye kuifundisha timu yeye ndio kapata faida zaidi ya kujifunza zaidi mpira kuwa asichukulie poa soka la afrika kama alivyokua analichukulia awali maana katika interview yake jana kasema wazi kuwa "kumbe kwenye competition kama hizi inabdidi ujiandae 100 or 120% " so kwa hali ya kawaida unaona huyu mtu alikua anajua soka la afrika ni hovyo hovyo tu kama yeye alivyokuja kuichezea stars enzi zile za prof mshindo msolla akitokea kuchezea timu ya mtaani kwake siku za jumamosi kama bonanza pale Reading Berkshire huku akiwa mfanyakazi wa Maiwand Lion in Forbury GardensWadau nahitaji namba za MTU aitwaye Ami ninje.nataka tu nimshauri ajiuzulu arudi uingereza kwa dadaake akaendelee kufundisha timu za mtaani atuachie soka letu LA bongo tuuuane sisi wenyewr
Huyu jamaa kafaidi kujiongezea yeye ujuzi na siyo kuisaidia timukweli huyo jamaa kuna kitu kajifunza badala ya yeye kuifundisha timu yeye ndio kapata faida zaidi ya kujifunza zaidi mpira kuwa asichukulie poa soka la afrika kama alivyokua analichukulia awali maana katika interview yake jana kasema wazi kuwa "kumbe kwenye competition kama hizi inabdidi ujiandae 100 or 120% " so kwa hali ya kawaida unaona huyu mtu alikua anajua soka la afrika ni hovyo hovyo tu kama yeye alivyokuja kuichezea stars enzi zile za prof mshindo msolla akitokea kuchezea timu ya mtaani kwake siku za jumamosi kama bonanza pale Reading Berkshire huku akiwa mfanyakazi wa Maiwand Lion in Forbury Gardens
Tff ni kazi bure waleAnza na aliyemchagua.
kabisa ilimbidi atafute post japo njombe mji approve his qualityHuyu jamaa kafaidi kujiongezea yeye ujuzi na siyo kuisaidia timu