To be honestly kwa mganga ,ila si kwamba alinipatia mamilioni no alinipanga sawa na nikaanza na biashara ya kawaida ila baadae daaah AHSANTE MUNGU ,AHSANTE MGANGA wa kweli. Dunia ina mambo kufanikiwa kuna njia nyingi sana
Not true ,unajua waganga wengi wanapigwa vita na waganga wenzao? Adui wa mganga wa kwanza ni mchawi wa pili ni mganga mwenzake ,mganga akimuona mwenzie uganga umewaka na anapiga pesa ama kuponya watu afu yeye hana maajabu huumia sana na kutaka kumdhofisha mwenzie, kwenye haya maisha acheni watu...
Zina masharti mkuu ipo sio ya kunywa unafunga tuu kiunoni mpigi zake ila hakikisha zisidondoke zenyewe, inabidi uzifungue wewe kama wewe zikijidondokea hutazaa milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.