kodhluoch. Mimmi nashangaa watu bado wanakuwa na majina yenye ukabila ndani yake,jifunzeni na muache kumwangusha mwalimu nyerere baada ya kazi nzuri aliifanya na kutuachia watanzania. Ni aibu kuona watu bado wanajivunia kujiita jaluo,jakine and the rest for what, give yourself and public name...