mkuu naona selikal iweke sawa jambo hil ili kila m2 apate maslah bila kumuathil mlaj kwa bei kumba 2kisema wafunge viwanda n watanzania wangap watapoteza ajira? selikar pia inaweza kuongeza uwekezaj kwenye sukar ye2 wenyewe kwa kuongeza viwanda hii itaongeza ajira kwa watz na wakiwemo wakulima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.