wadau kwa wale wote wanaosema kwamba serikali 3 ni gharama mbona huo mfumo upo na ndio tulionao kwa sasa na unafnya kazi vizuri tu, serikali ya 3 raisi wake ni Mh Pinda ila kabadili jina tu anaitwa waziri mkuu je hapo kuna shida gani tume kuiweka wazi hyo serikali ya Mh Pinda yaani Tanganyika Mh...
Hati halali ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haiko UN, kuna ya Tanganyika tu,ambayo Nyerere aligushi mambo mengi.
Hati ya Zanzibar ni ile ya Muungano wa Muda wa miaka 10 tu , lakini kwa undumi la kuwili wa Juliasi hio hati hakuipelekwa UN na kilichopelekwa ni hati ya upande mmoja tu wa...
wana uraia na Zanzibar wanakuja kama raia wakigeni kutalii sasa cjui Tanganyika kuna nini kikubwa hata wacwe na ubavu wa kuwa raia huko Ulaya ya Tanganyika.
hahaaaaaa Zanzibar na sudani ya kusini kuna tofauti kubwa kaka utamaduni, asili, dini Zanzibar inalindwa na uislamu tuko based na Mungu wetu Allah so we endelea kuota tu insha Allah atuepushe na hizo dua za kuku
nikikuita m pu mbav nimekosea! rejea maneno ya mwanasheria wa Zanzibar alipo sema bungeni ile ni public document kila raia ana haki ya kuona ccm kweli janga mtaficha ukweli mpaka lini, you can fool some ppl some time but you cant fool all ppl all time, by bob marley
acha upu mba vu sudani na Tanzania wapi na wapi sudani ilikua nchi moja review Tanganyika na Zanzibar ndio nyinyi wadanganyika mlio potoka Tanganyika ndio Tanzania Zanzibar wanataka nchi yao wameshtuka na huu muungano wa kisanii hauna hata hati hizo ziliopo pia ccm wana chakachua saini.
sasa inafichwa ili iweje kwa sasa tuna muungano wa ASP na TANU tu sio Tanganyika na Zanzibar na hawa maccm cjui yanishi dunia gani watamdanganya nani na ulimwengu huu wa .com
chuki binafsi zitakuua tafuta record kati ya nchi za afrika mashariki ni watu gani wakarimu kama sio wazanzibar tatizo kubwa kwa Zanzibar ni ccm kukubali kupewa vyeo huko Tanganyika na wanafanya hivo kwa sababu wana ufinyu wa elimu nje siasa hawawezi kujiendesha khofu yo kaa cu atachukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.