Post Muungano Zanzibari kunawiri

Post Muungano Zanzibari kunawiri

hats wasudani Kusini walikuwa name ndoto kama zako, Leo him wanachinjana wao kwa wao. Hats Zanzibar itaelekea huko, yaani kwenye vita vya waunguja na wapemba.

hahaaaaaa Zanzibar na sudani ya kusini kuna tofauti kubwa kaka utamaduni, asili, dini Zanzibar inalindwa na uislamu tuko based na Mungu wetu Allah so we endelea kuota tu insha Allah atuepushe na hizo dua za kuku
 
uchache wa watu? wazanzibari waliopo zanzibar sio wote, asilimia kubwa ya wazanzibari wapo bara, muungano ukivunjika itabidi warudi zanzibar. Kwa sasa hivi tu tukisema wote warudi hawatatosha kwa rasilimali zilizopo.

kaka wazanzibar wako wengi uk kuliko Tanganyika so waacheni warudi tu nyumbani nafac zipo nyingi tu za kuishi
 
Ndio vigeugeu hivi, muungano hamtaki lakini kukaa bara mnataka. Chenu chenu, chetu chenu! wazanzibari wanakaa bara kama watanzania muungano ukivunjika hatutakuwa na sababu ya kuwahifadhi tena, kwa lipi? huko ulikotaja canada, UAE na UK wazanzibari wanakaa bila passport au visa? mbona unachanganya mambo?

wana uraia na Zanzibar wanakuja kama raia wakigeni kutalii sasa cjui Tanganyika kuna nini kikubwa hata wacwe na ubavu wa kuwa raia huko Ulaya ya Tanganyika.
 
hahaaaaaa Zanzibar na sudani ya kusini kuna tofauti kubwa kaka utamaduni, asili, dini Zanzibar inalindwa na uislamu tuko based na Mungu wetu Allah so we endelea kuota tu insha Allah atuepushe na hizo dua za kuku

Subiri utajua dua za kuku hapo utakapo kuwa unapokea ugali wa njano mpaka wa Tanganyika (taveta)....mtakula kichapo wazanzibar.... ndio maneno ya Karume yatawaingia kichwani...kwamba alikuwa anataka kuungana sababu gani...
 
kaka wazanzibar wako wengi uk kuliko Tanganyika so waacheni warudi tu nyumbani nafac zipo nyingi tu za kuishi

sizungumzii hao raia wa sultani waliokimbia baada ya kupinduliwa, nazungumzia hawa wauza mchele bara.
 
uchache wa watu? wazanzibari waliopo zanzibar sio wote, asilimia kubwa ya wazanzibari wapo bara, muungano ukivunjika itabidi warudi zanzibar. Kwa sasa hivi tu tukisema wote warudi hawatatosha kwa rasilimali zilizopo.

Tusifike huko...ila watanganyika wapo znz wengi sana kuliko mnavo dhania..
Kwanza huko kuna kambi za jeshi zaidi ya 7 na 90% ni watanganyika
Kuna wamasai kibao
Kuna polisi wa tanganyika kibao
Kuna wafanyakazi wa taasisi za muungano kibao
Kuna wafanyakazi wa mahitelini karibu wote
Kuna wafanyakazi wa private sector kama mabenki tours bima hata maduka kutoka tanganyika
Pia kuna machinga wa tanganyika....hivo tusiombe ya kufukuzana kila mmoja ataathirika...
 
Tusifike huko...ila watanganyika wapo znz wengi sana kuliko mnavo dhania..
Kwanza huko kuna kambi za jeshi zaidi ya 7 na 90% ni watanganyika
Kuna wamasai kibao
Kuna polisi wa tanganyika kibao
Kuna wafanyakazi wa taasisi za muungano kibao
Kuna wafanyakazi wa mahitelini karibu wote
Kuna wafanyakazi wa private sector kama mabenki tours bima hata maduka kutoka tanganyika
Pia kuna machinga wa tanganyika....hivo tusiombe ya kufukuzana kila mmoja ataathirika...

hahaha. Mzanzibari wa kweli lazima hili la kufukuzana litamtisha. huko zanzibar watu wooote jumla ni 1.6mil, hatutakuwa na tatizo lolote la kumeza hata watu wote zanzibar, wachilia mbali hawa watanganyika wachache watakaorudi.
Hao watanganyika karibu wote ni watu walio zanzibar kwa sababu ya shughuli maalum za kikazi sio makazi si unakumbuka kuwa hawa "watanganyika" hawaruhusiwi kuwa na ardhi huko?
 
hahaaaaaa Zanzibar na sudani ya kusini kuna tofauti kubwa kaka utamaduni, asili, dini Zanzibar inalindwa na uislamu tuko based na Mungu wetu Allah so we endelea kuota tu insha Allah atuepushe na hizo dua za kuku
Kumbuka kwamba hata Somalia inalindwa na uislamu, hata wao wanamtegemea Allah. Sasa ni kwanini wameshindwa kuwa na amani? Kama uislamu haukuweza kulinda amani Somalia una uhakika gani kwamba Zanzibar itakuwa salama baada ya kujitenga?
 
Back
Top Bottom