Recent content by Koala

  1. Koala

    Car4Sale Miliki gari ya heshima Fortuner ya mwaka 2013

    Natafuta Mitsubishi Challenger
  2. Koala

    Tanzanians and Diplomatic Community Tools in Legitimization of CCM Selections

    Read between the lines! But thanks
  3. Koala

    Tanzanians and Diplomatic Community Tools in Legitimization of CCM Selections

    Unadhani kwanini wananchi wanashindwa kumwajibisha?
  4. Koala

    Tanzanians and Diplomatic Community Tools in Legitimization of CCM Selections

    President John Magufuli was inaugurated on Thursday, November 5th as president of the United Republic of Tanzania for a second and final term just days after a chaotic election known in the history of the East African nation. Magufuli won a second term in an election that was marred by violence...
  5. Koala

    Imeniuma sana, mke wangu anatembea na baba yake mdogo

    Mkuu kwanza Pole sana kwa hilo jaribu ulilonalo. Kama wengine waliotangulia kukushauri. Hauna sababu ya kulipiza kisasi. Mwenye kulipa kisasi ni Mwenyezi Mungu. Sijui ww ni dhehebu gani, ila Wakristu Biblia inatuambia usimuache mkeo ila kwa zinaa. Huyu ameshazini nje tena na Mume wa Mama ake...
  6. Koala

    Alama hizi za bra zinatokaje?

    Mbona za chupi hausi au hizo hazikukeri? Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. Koala

    Pamoja na msaada wote niliompa bado anatoa wapi ujasiri wa kufanya ujinga kama huu?

    Jombaa!! Nenda kapime ngoma kwanza alafu ndo nitakupa ushauri.
  8. Koala

    Mume wangu hajibu sms, kisa nilienda kumwangalia mgonjwa bila kumuaga

    Ulishawahi kuchepuka?Ama alishawahi kukuhisi unachepuka?
  9. Koala

    Evarist Chahali: Kuna kiongozi wa nchi jirani ana "compromising information" kuhusu kiongozi mmoja "Mkubwa"

    Bro.Chahali. Popote ulipo,naomba nikusalimu kwa jina la Bwana. Nimekuwa nafuatilia kwa karibu sana mada zako na mawazo yako kuhusu Taifa letu na mustakabali wake kiusalama na Taasisi yetu pendwa ambayo kulingana na maandishi yako ulikula kiapo cha kuitumikia. Kaka,ninapoandika maneno haya moyo...
  10. Koala

    Aida Olomi na mahabusu wanaouguza vidonda vya risasi Polisi Osterbay bila kupelekwa hospitali, Polisi kuweni na utu

    Walipigwa risasi lini na wapi?Na nn sabb ya wao kupigwa risasi?Je,walikwebda polisi kuchukua PF3 ndio wakakamatwa au nn kilipelekea wao kuwekwa ndani?
  11. Koala

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Habari wana Bodi. Ni muda sasa nimekuwa najiuliza inawezekanaje serikali kulipa mishahara kwa wafanyakazi wa Taasisi Binafsi alafu Mkaguzi wa Hesabu za serikali hawezi kufanya ukaguzi wowote katika hayo mashirika? Nimejaribu kufanya kauchunguzi kangu kadogo, kuna taasisi za utafiti wa mazao...
  12. Koala

    Wezi wa pikipiki wamuua abiria na kujeruhi dereva kwa Ngarola, kata ya Malamba mawili Dar

    Habari za jioni wana bodi. Hili tukio limetokea usiku wa kuamkia jana,ila nimeona niliweke leo ili wahusika walifanyie kazi maana vitendo hivi vimekithiri eneo hilo. Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamewavamia watu wawili waliokuwa wamepanda piki piki usiku wa saa tisa alfajiri ya tarehe...
  13. Koala

    Habari ya Ripoti mkemia mkuu imenipotezea usingizi wangu

    Ni vyema tukajua sample of the total population. Maana kusema tu mfano 70% ya waliopimwa haitoi majibu sahihi. Kumbuka kipimo kile ni cha gharama kubwa,kwa hivyo ni watu wa kariba fulani tu ndio ambao wanaweza kumudu kufanya kipimo hicho.
  14. Koala

    Jipatie samaki aina ya Sato na Kambale kwa jumla kutoka Ruvu

    Jumla ni kuanzia kilo ngapi!?
Back
Top Bottom