Ndugu zanguni msiwe mnawasimanga watu wananuka mdomo.
Siyo wote wachafu, wengine tuna magonjwa.
hata nikipiga mswaki mara kumi kwa saa, kama vile sijapiga mswaki week mzima
[emoji24][emoji24][emoji24]
Nahisi kutengwa na watu nafkiri kujiua
Najiona Sina thaman kabisa hata kuongea na mtu ni shida Sasa nitakua mgeni wa nani mimi jamani[emoji24][emoji24][emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.