Wanaolalamikia ajira ni ambao hawakunufaika kabsa na hii elimu bure. Mi naona ili mada iwe na mashiko kidogo ungesema nin kifanyike katka mitaala ya elimu yetu nchin ili kuondokana na fikra ya mtu kuwaza kuajiria pindi amalizapo elimu yake.
kinachotakiwa kwa wale wenye sifa za chuo ni kuandika barua kwnda makao makuu ya jkt kua unaahirisha kwenda jesh had hapo utakapomaliza masom yako ya chuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.