Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
Mliosoma bure kwanini na nyie mnadai ajira? Kwanini msijitolee? Cha bure hakina thamani, hata anayekitoa hakithamini ndio maana anakitoa bure.
Kwanini wewe unayepewa bure udhani kinathamani? Mnaosoma bure jitoleeni, jiungeni UVCC muwe mnachimba hata mitaro bure.
Watu hamnashukrani!
Kwanini wewe unayepewa bure udhani kinathamani? Mnaosoma bure jitoleeni, jiungeni UVCC muwe mnachimba hata mitaro bure.
Watu hamnashukrani!