Habari,Ebu tuchambue kidogo siasa ya Tz kuelekea uchaguzi mkuu wa urais mwakani,nani anastahili kuwa rais wetu na kiongozi mwenye maadili ya kulibeba Taifa hili kati ya hawa:-Bernad membe,Edward Lowassa,January Makamba,Dr.wilbroad slaa,Wasira na Sumaye...tunatakiwa tupate kiongozi mashuhuri...