Nakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani
Na wewe usiishie kulalamika tuambie n mfumo upi utakaotufikisha katika matamanio hayo? Katba mpya wameikalia unataka tumulaumu Nan kama sio ccm? Kwa akili zako tatzo la mikataba mibovu ya madini solution n kumtumbua muhongo? Mikataba ilikuwa inasainiwa mpaka hotelin wapinzani walipohoji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.