Recent content by km4

  1. km4

    Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

    Nakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani
  2. km4

    KISUTU: Ndama Shabani Hussein (Pedeshee Ndama) jela miaka 5 au faini 200 milioni

    Walioko gerezani wengi n masikini,mtu katakatisha billion 1.18 unamtoza faini sh 200m. Are we serious????
  3. km4

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhongo

    Na wewe usiishie kulalamika tuambie n mfumo upi utakaotufikisha katika matamanio hayo? Katba mpya wameikalia unataka tumulaumu Nan kama sio ccm? Kwa akili zako tatzo la mikataba mibovu ya madini solution n kumtumbua muhongo? Mikataba ilikuwa inasainiwa mpaka hotelin wapinzani walipohoji...
  4. km4

    Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta!

    Pascal mayala ndo uliyeitwa njaaa sku ile ikulu au mwingne? S kwa kujipendekeza uko ,au mpaka utekwe wewe ndo utagutuka eee.watch it!!!!!
  5. km4

    Kiongozi wa dini asiyejua kusamehe, vyeti vyetí mpaka lini

    Kwan kuonesha vyeti inahitaji mda gan? We need certificates
  6. km4

    Tundu Lissu akamatwa akiwa Mahakamani Kisutu, Aandika ujumbe mzito kwa Watanzania

    Authority and power is dangerous without leadership skills by Maigwa Mp
  7. km4

    Mbunge Vedasto Ngombale (CUF) ''ahenyeshwa" na Magufuli Somanga

    Zahanat ni haki yao na ni wajibu wa serkali kuwajengea na sio mbunge
  8. km4

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Every thing you do is politics ,watumish wa Mungu wanakaaa mbinguni? Mtumumish yup wa dini hajihusish na siasa?
Back
Top Bottom