Recent content by klyzleman

  1. klyzleman

    GE2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

    Nakupa big up senior ila naomba kutoa utetezi kidogo kwa upande wa CCM ila mimi sio mwanachama wa chama hicho unachotakiwa kuangalia je CCM imeifanyia nini umma kwa ujumla na sio imekufanyia nini wewe:A S thumbs_up:
  2. klyzleman

    GE2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

    Nakuunga mkono ndugu yangu kabisa naomba huyu bwana tumsaidie kumtoa kwenye itikadi za kidini
  3. klyzleman

    GE2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

    pole sana kwa kupotea kifikra binafsi tatizo sio kuwa na elimu ya uchumi peke yake bali tunahitaji kiongozi ambae atainua uchumi,huduma nyingine za jamii pamoja na maendeleo ya sayansi na teknolojia.Na kuhusu Dk Slaa sio mlopokaji bali ni mtu mwenye uchungu na upoteaji wa rasilimali za...
  4. klyzleman

    Natafuta mchumba

    Kiukweli wachumba waaminifu wako wengi tu sio lazima aliyekama obama
  5. klyzleman

    Maximo.......je unamkumbuka kwa lipi?

    Sawa! Sasa hebu niambie kama huyu mpya akishindwa kufikia rekodi ya Maximo utaniambiaje? hata kutupeleka Mataifa ya Afrika ya ndani hakuna, utasemaje?
Back
Top Bottom