Hehehe mie nimepita kuwasalimu tu na ujumbe wangu ni kwamba
"msinitafuteeee mwenzenu niko bizeeee, msinitafute mwenzenu niko bizeeee"
Mzembe nakamilisha makabrasha ya mwisho mwisho nilambe share yangu Zimbwabwe Airlines.
Erotica na sweetlady anzeni kufanya mazoezi ya kutumia pafyumu za...
hehehe naelewa honey bana, wewe ndio kwanza sheria hata haikuruhusu kuendesha gari, infakti umepishana na lulu kwa miezi tu.
Sasa acha nilog out nikakamilishe ule mpango wetu wa weekend. si unajua sherehe ni mipango? na mipango ni matayarisho?
luv is all I have for you
kich kich beibe.
tchao...
am vere vere gud honey, nani kakuuzi leo nimalizane nae. Sjawahi kutukana JF lakini niko tayari kutukana na kulambwa ban kwa ajili yako. mapenzi yangu kwako hayapimiki. siku ukizimia tu basi mi najiuwa kabisa.
Waifu wa jirani yangu pia alitaka kudai talaka nimuowe mimi nikamjibu kwa kiingreza impossibo, ametishia kujiuwa.
Nazani sasa imetosha. Mambo vipi honey?
Mzembe nina six pack la kufa mtu, halaf nikiongea stoi harufu ya mdomo, niko kopi to rait na walcott wa Arsenal, samtaimu hata toilet naenda na suti, sjawahi kuishi uswahilini, wala sjawahi kutongoza, wadada wakiniona tu basi wanajileta wenyewe na vijimaneno vyao kama "super star kloro naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.