Recent content by Klaxon

  1. Klaxon

    Mafua yasiyoisha kwa watoto wachanga

    Hapana hawezi kufanyiwa
  2. Klaxon

    Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

    Huwa hawashauri haya lakini mm nakushauri achana nae... wengne wanasema eti kwani ww haucheat?aisee..wanaume tunacheat kwa tamaa ila wanawake wanacheat kwa hisia...na akicheat at once,anaweza kurudia na mara nyingine nyingi, references zipo nyingi Sana Mfano dude lako ww mkeo halimtoshei Yani...
  3. Klaxon

    Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

    Uko mkoa gani kamanda?? Najua utakuwa na mengi Sana yaliyokupelekea kufikia kuwaza mambo hayo,na najua ushajaribu njia nyingi za halali na imeshindikana....kama uko serious,nenda tunduma,chunya,sumbawanga vijijini na Tabora... nahisi unaweza kufanikiwa ila uwe jasiri sana maana njia sio rahisi...
  4. Klaxon

    Mrejesho: Mgonjwa wangu wa sukari anaendelea kuzidiwa

    Good catch-up....tusubiri majibu then tuendelee kumuombea
  5. Klaxon

    Sintofahamu Ajira za Walimu

    Sijui nani alitoa wazo la kuwa ajira za afya na elimu ziwe chini ya utumishi, yaani imekuwa ni changamoto Kubwa sana na inaleta complications na unfairness nyingi ambazo hazikwepo wakati ajira ziko chini ya Tamisemi na wizara husika Yani afya na elimu. Unaweka interview Kwa watu kama 170k...
  6. Klaxon

    Mrejesho: Mgonjwa wangu wa sukari anaendelea kuzidiwa

    Sukari hupandishwa Kwa sababu nyingi Sana na kuwa huwa ni infections na huyo mgonjwa wako alishaingia pia katika complication.. basically alishaingia kwenye DKA ndo mana akapelekwa ICU....ninachotaka kujua ni kwamba bado anachoma insulin au wamemrudisha kwenye dawa za kumeza?then kuna dawa gani...
  7. Klaxon

    KERO Responded Sikuchagua Mkoa wa Kagera lakini wamenichagua Kagera ndiko nitafanya Oral interview Nauli 100,000

    Unaweza kufanya mawasiliano mapema Kwa kuwapigia simu au kuwa E-mail ili wakubadilishie hiyo mahali pa kufanyia..just relax sababu ni wengi wenye hiyo changamoto sio peke Ako ...au unaweza kwenda ofisi zao hapo DSM au Kuna namba ya IT hapa wa ajira portal pale Dodoma hebu mtafute
  8. Klaxon

    Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

    Kuishi nje ya nchi ni utashi na interest tu ya mtu.... ukiwa karibu na miradi Yako pia ni rahisi kuisimamia na kuona maendeleo yake kuliko ukiwa mbali ndo mana wamechagua kuishi hapa afu then kuishi nje ya nchi ni gharama sana ambayo haikuwa muhimu
Back
Top Bottom