Hii point imeeleweka sana....Mungu alipoumba mtu mume na mtu mke hakuwawekea restrictions kwamba lazima watofautinae kihadhi....haya mengine ya kutafuta balance ni ya kibinadamu tu
Kinachofanya uchawi uitwe uchawi sio mganga,Bali ni ile imani anayoweka mtu kwamba akienda kwa mganga ndipo atafanikiwa be it ni kwenye biashara au maofisini n.k....na pia binadamu wanakua wepesi kuamini katika uganga sababu ni visible lakini uwepo wa Mungu aliye hai na mwenye nguvu juu ya kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.