Recent content by Kking

  1. K

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Panda gari za Feri shuka kituo cha Magogoni/Ardhi
  2. K

    Tetesi: Ivi ni kweli eti continuing students wenye supp hawasaini mkopo?

    Ni vyema ukapata majibu sahihi kwenye ofisi ya Dean. Hapa ndani mmmh!
  3. K

    Msaada: Nataka kuangalia approval results ya TCU, naomba mnielekeze

    Ulikuwa na Supplementary? Angalia kwa namba ya final
  4. K

    Computer4Sale Hp laptop 1TB, core i5, 6GB BEI POA SANA

    Kaka Issa, Naomba kufahamu imetengenezwa Nchi gani? Upo Mkoa gani? Mie nipo Dsm
  5. K

    Kwako Prof Ndalichako

    Two principal passes in teaching subjects ndo nini? HIZO requirements for Higher Diploma kama ndivyo zilivyoandikwa basi hapo tena ni shida? Teaching subjects is a relative term. Masomo yakufundisha yapasa yafafanukiwe
  6. K

    Tukio la wanafunzi kupigwa..Wanafunzi wa UDSM mjiangalie upya

    Jambo la Msingi kwenye hoja nishauri kutafiti/kuchunguza kisa chenyewe maana kumeshakuwepo na maelezo kinzani. Mara alopigwa hakuna mwanafunzi, ni chokoraa aliyevaa sare ya shule ili aweke kutumia mambo yake hapo shuleni
  7. K

    UN secretary-general: How is the top job decided?

    It is a time now to debate if there is a need to have a vote powered nationals
  8. K

    Msaada wa chuo cha nursing chimala

    Ingia www.nacte. go. tz utaona sehemu wameandika registered institutions
  9. K

    Maombi ya Chuo 2016/2017

    Kwa upande wa NATCE wanautaratibu wa kutoa form online ambayo utapaswa kulipa 20, 000. Form hizo zitatoka mwezi wa kumi
  10. K

    Second selection

    Sahani. Shao. Niliamanisha uwe na subra. Watafungua baada ya kutangaza waliotuma maombi majuzi
  11. K

    Second selection

    Fauna subra kidogo. Jumbo la unholy kwa sasa soma guide book yao kujiweka ktk mazingira bora
Back
Top Bottom