Recent content by kizzawarlesy

  1. kizzawarlesy

    Laptop Hp 4sale

    Namba yako mkuu
  2. kizzawarlesy

    Laptop Hp 4sale

    Your number please tufanye biahsara
  3. kizzawarlesy

    Nitapataje tray ya line ya motorola X?

    Yaa ipo mkuu nichek 0763701754 tuyajenge
  4. kizzawarlesy

    Nitapataje tray ya line ya motorola X?

    ndio kaka naitaji iyo nisaidie
  5. kizzawarlesy

    Nitapataje tray ya line ya motorola X?

    Ni salama wadau?,,mwenye kuifahamu hiyo simu inaitwa motorola "X" (moto x), nahitaji trei ya laini yaani kichuma kinachobeba laini mwenye kuwa nacho anichek inbox tuyajenge nina shida nacho saana yani naombeni msaada waungwana.
  6. kizzawarlesy

    Kama hutaweza kujenga mwaka huu, hutaweza kujenga maisha yako yote hapa nchini

    [emoji1] [emoji1] yani comment mubashara kbs!!!
  7. kizzawarlesy

    Naitaji watu/ofisi ya kufanya kazi za software za simu

    hii fani haina vitambulisho/vyeti mkuu.
  8. kizzawarlesy

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    iyo ni system charge haiko sawa
  9. kizzawarlesy

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    wakuu kwa ambae yuko dar tufahamiane bs ili tufanye kazi.
  10. kizzawarlesy

    Naitaji watu/ofisi ya kufanya kazi za software za simu

    Habari wakuu, poleni na majukumu, mimi ni fundi simu nafanya hardware na software hivyo nahitaji watu au ofisi ya ku-share tufanye kazi, napatikana Dar.
  11. kizzawarlesy

    MSAADA APA NIFANYE NINI

    mm nnasolve iyo bila shida na nna-upgrade iyo OS vzr kabisa then unatumia device yako bila tatizo lolote mkuu. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  12. kizzawarlesy

    MSAADA APA NIFANYE NINI

    da! sjui ntakusadieje mkuu mana inatakiwa niwe nayo mkononi niifnyie software by PC tatizo lako ungelisaau kabisa.
  13. kizzawarlesy

    MSAADA APA NIFANYE NINI

    km uko dar ncheki inatakiwa ku-flashiwa yn ku-update firmware yake tatizo litakuwa solved 100%
Back
Top Bottom