Upo beach unaogelea ikatokea watu wawili wanahitaji uwaokoe kutoka ndani ya maji ila kati ya hao mmoja unampenda ila yeye hakupend na mwingine anakupenda ila ww haumpend je? Yupi ungeanza nae hapo?
Duh! Lady doct nomaa ila hujanifikia bado mm nilikuwa nikila msosi kwa jiran nikimaliza na nawa nafatia na udongo kwa kujifuta ili wajue mdomo umepauka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.