Recent content by Kizuio

  1. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Namna ya kukopa million 2 benk kwa haraka

    Sio mtumishi serikalini Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Namna ya kukopa million 2 benk kwa haraka

    Wakuu naomba msaada ni vitu gani hasa vitahitajika ili kuipata milioni 2 benk kwa haraka kama mkopo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya kimataifa yashtushwa na tamko la Makonda kuhusu ushoga

    Kama ni kuwasaidia hakuna shida ila kama ni kuwashtaki tujiangalie Mungu atawahukumu mwenyewe
  4. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume: Nitawatetea wapenzi wa jinsia moja, Amber Rutty ana haki ya kutumia mwili wake

    Tusihukumu tusije tukahukumiwa
  5. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Katuni ya Said Michael balaa

    Huyu kwa urais alikuwa hatoshi kabisa kutokana na ugonjwa wake wa sadist
  6. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kushangaza Biblia inapozungumzia Ngono kwa binadamu

    Mwanafunzi wa secondary asome kwanza Kinyume na hapo dhambi itamtafuna tu
  7. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kushangaza Biblia inapozungumzia Ngono kwa binadamu

    Miaka 18 17 16 unaoa kabisa Chini ya hapo huyo ni mtoto haelewi kitu bado hata maana ya punyeto hajui
  8. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Ccm haijali kabisa michezo katika hili taifa pamoja na serikali wanayoiongoza

    Viwanja vikiwa bora na uzalishaji wa vipaji unakuwa bora pia
  9. Kizuio

    JamiiForums Tanzania RC Makonda amjibu Dudubaya kuhusu kutaja mashoga, amtaka atulie kwanza

    Bashite mwenyewe anafaa kuchunguzwa
  10. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kushangaza Biblia inapozungumzia Ngono kwa binadamu

    Ni dhambi kama umefika umri wa kuoa na hutaki kuoa Kuliko kuwaka tamaa ni bora kuoa kabisa
  11. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Ccm haijali kabisa michezo katika hili taifa pamoja na serikali wanayoiongoza

    Wana ccm wote mlioko makao makuu mnifikishie hili
  12. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kushangaza Biblia inapozungumzia Ngono kwa binadamu

    Kwa sababu una sehemu ya kumalizia haja zako shida ninini?
  13. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Ccm haijali kabisa michezo katika hili taifa pamoja na serikali wanayoiongoza

    Hii sio kali mkuu bali inahuzunisha sana
  14. Kizuio

    JamiiForums Tanzania Wafilisti waliotajwa kwenye biblia ni taifa gani kwa wakati huu?

    Wafilisti hawapo kwa sasa ila eneo walilokaa Baada ya dhamira yao ya kuvamia misri kushindikana ni pwani ya kanaan ambapo leo hii wanaoishi hapo ni wapalestina jina lililotokana na Neno hilohilo wafilisti Hawa wafilisti walivuka Mpaka kutoka ulaya huko ugiriki enzi hizo
Back
Top Bottom