Yani unakufuru huku unajiona wewe ndio mjanja. Haya tuseme tuli-evolve kutoka muonekano fulani kwenda mwingine, tusaidie sasa huo muonekano wa asili wa kila kiumbe kilitokea wapi? Nani alikisimika hicho kiumbe cha awali cha jamii za aina mbalimbali za wanyama na mimea (spiecies)?
Acha jeuri...
Hao ni wahuni tu wajaotumiwa kuchafua image ya uislamu. Wanaelewa kuwa uislamu ndio dini iliyombele kupinga huo ushenzi sasa wameamua kuwalipa wahuni wajifanye waislamu.
Nyie ndio wakristo mnaoendeshwa. Inaonesha hata biblia yenyewe huijui na wala hutaki kuijua. Yesu ni Mwanadamu na alikuwa ni mtume wa Mungu (aliyetumwa na Mungu) kuja kuwaelekeza wanadamu hasa Wayahudi juu ya mwenendo aupendao Mungu mmoja muumba wa kila kitu.
Kuhusu Yesu kuabudu na Kumuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.