Wamepoteana ccm ,polisi,DPP,TISS,Mkurugenzi wa uchaguzi,mwenyekiti wa tume, mwanasheria wa tume,IGP,wasimamizi wa uchaguzi ngazi zote,wakuu wa wilaya,mkoa,wakuu wa idara mbalimbali za umma,wanasiasa uchwara,wanafunzi,vitambulisho vya Taifa,lesseni,pasipoti kwa wale waliopoteza,kupiga Mara mbili...