MBONA Polisi mkoa wa Iringa wametolea ufafanuzi kuhusu suala hili,kwamba marehemu amekutwa na umauti akiwa hospitalini,akitokea gerezani ambapo mahakama ilimhukumu kifungo cha miezi 3 jela,,
Kiongozi shukran sana,kama umeingia kichwani kwangu, Nina heka zinakaribia 40 zimebaki ukitoa nilizopanda korosho nataka nianze mchakato wa kupanda minazi, unajua kiongozi uwekezaji ni vita,ufe au upone ila watu wengi wanachukulia simple sana, angalizo kama mtu una roho nyepesi ya kutaka matokeo...
Hapo ndipo tunapo feli wakulima,na ufuta ukidondoka bei na korosho bei ukawa nzuri utaanza tena kupanda mikorosho uliyoikata?ukiambiwa zao la kudumu ni uwekezaji,kabla ya kuanza inatakiwa ukae chini ufikiri kwa mapana yake,changamoto ambazo ikitokea ukakutana nazo utafanya Nini?kama hiyo ya...
Kwa Korosho kama mfukoni upo vizuri ningekushauri uwekeze kwenye zao Hilo,ila linagharama kulihudumia mpaka kipindi cha kuanza kuvuna, N,B ila usilime sehemu ambayo UPO peke Yako kwa zao Hilo, wekeza kuanzia mkoa wa pwani,Lindi,na Mtwara,kwa uzoefu wangu KWENYE zao hilo, nikutakie maono...
Mimi naona watu wanapaplishi mambo,MBONA MWENYEEZI alipokuwa Arusha alimhoji Bashe kuhusu kupanda kwa bei ya sukari,na Waziri Bashe alitoa ushirikiani sana mpaka akatoa bei elezi ya nchi nzima ,MWENEEZI alimsisitiza Bashe asisite kuwachukulia hatua woote wanaovuruga bei elekezi,
Hongera kiongozi kwa uthubutu,inatakiwa watu wa namna hii,maneno machache vitendo vizungumze,nakupongeza kwa sababu umenikosha kwa kuanza kuchukua hatua,kilimo kina changamoto zake ila utajifunzia humo humo shambani utajua mengi,kikubwa changamoto utakazokutana nazo ziwe chachu ya mafanikio...
Mkuranga hamna kitu nahisi kituo kilishakufa,nilifika pale mwaka wa Jana kwa ajili ya kupata Miche,ila hawana
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.