Recent content by kizibotz

  1. K

    Martin Chacha mkazi wa Tegeta inadaiwa ameuawa kwa kipigo na ASAS akishirikiana na SUMA JKT

    MBONA Polisi mkoa wa Iringa wametolea ufafanuzi kuhusu suala hili,kwamba marehemu amekutwa na umauti akiwa hospitalini,akitokea gerezani ambapo mahakama ilimhukumu kifungo cha miezi 3 jela,,
  2. K

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    Kiongozi shukran sana,kama umeingia kichwani kwangu, Nina heka zinakaribia 40 zimebaki ukitoa nilizopanda korosho nataka nianze mchakato wa kupanda minazi, unajua kiongozi uwekezaji ni vita,ufe au upone ila watu wengi wanachukulia simple sana, angalizo kama mtu una roho nyepesi ya kutaka matokeo...
  3. K

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    Hapo ndipo tunapo feli wakulima,na ufuta ukidondoka bei na korosho bei ukawa nzuri utaanza tena kupanda mikorosho uliyoikata?ukiambiwa zao la kudumu ni uwekezaji,kabla ya kuanza inatakiwa ukae chini ufikiri kwa mapana yake,changamoto ambazo ikitokea ukakutana nazo utafanya Nini?kama hiyo ya...
  4. K

    Bora DP World wasingepewa bandari! Inachukua zaidi ya mwezi kupata mzigo bandarini

    Kaanza kufunga mifumo kwanza, huko ndiko kwenye shida kubwa,muwe wavumilivu kidogo mambo mazuri hayataki haraka,
  5. K

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    Kwa Korosho kama mfukoni upo vizuri ningekushauri uwekeze kwenye zao Hilo,ila linagharama kulihudumia mpaka kipindi cha kuanza kuvuna, N,B ila usilime sehemu ambayo UPO peke Yako kwa zao Hilo, wekeza kuanzia mkoa wa pwani,Lindi,na Mtwara,kwa uzoefu wangu KWENYE zao hilo, nikutakie maono...
  6. K

    PreGE2025 Mbowe: Tunaweza kufanya maandamano ya shari endapo hatutosikilizwa

    Walisema mzaha mzaha mwisho hutumbuka usaha, wameshaonja asali wanataka kuchonga Mzinga, ila selikali huu mzaha wanaofanya ipo siku watakuja kulia,wakumbuke kilichomkuta Gadafi
  7. K

    Kilimo si kwa watu dhaifu

    Story zisikutishe ,kweli changamoto zipo na utakutana nazo,ila pambana mpaka uzishinde,
  8. K

    Kilimo si kwa watu dhaifu

    Na amekuambia yeye kazi ya kulala na mijoka hawezi,Sasa unadhani MTOTO wa mwenye shamba afanyeje?
  9. K

    Kilimo si kwa watu dhaifu

    Sio hizo nahisi ,Kuna kunde mbegu inatoka msumbiji aisee! ukijasliwa kupata umewin,punje zake kubwa zinakaribia kama maharage halafu zinaiva sanaa,
  10. K

    PreGE2025 John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

    Sasa Heche SI awaambie Polisi wasikubali kuhojiwa na Mwenezi,kwani shida ipo wapi?
  11. K

    PreGE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

    Mimi naona watu wanapaplishi mambo,MBONA MWENYEEZI alipokuwa Arusha alimhoji Bashe kuhusu kupanda kwa bei ya sukari,na Waziri Bashe alitoa ushirikiani sana mpaka akatoa bei elezi ya nchi nzima ,MWENEEZI alimsisitiza Bashe asisite kuwachukulia hatua woote wanaovuruga bei elekezi,
  12. K

    Dunia na Afrika Mashariki waiangalie Rwanda kama nchi ya miaka 25-30 ijayo, isihangaike na mtu mmoja tu anayeiongoza kwa sasa

    Ni sahihi kabisa,niliona JW wanavyopandisha mzuka wakati wanakabidhiwa jukumu la kumpiga kunguru, ni kasema kazi ipo,
  13. K

    Upandishaji wa nguruwe

    Wataalam SI wameshaeleza hapo juu?,kwamba haifai kupandisha kwa nguruwe ndugu?, Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
  14. K

    Fursa ya Kilimo cha Chikichi kibiashara

    Hongera kiongozi kwa uthubutu,inatakiwa watu wa namna hii,maneno machache vitendo vizungumze,nakupongeza kwa sababu umenikosha kwa kuanza kuchukua hatua,kilimo kina changamoto zake ila utajifunzia humo humo shambani utajua mengi,kikubwa changamoto utakazokutana nazo ziwe chachu ya mafanikio...
  15. K

    Napenda kujua zaidi kuhusu Kilimo cha minazi (coconut tree)

    Mkuranga hamna kitu nahisi kituo kilishakufa,nilifika pale mwaka wa Jana kwa ajili ya kupata Miche,ila hawana Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom