Recent content by Kizibao

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wazanzibar hawatekwi na kupotezwa?

    Wewe unaongozs kuuleta post za kipuxi hapa.. na wewe si mbaguzi lakini ni ujinga ndiyo unaokusumbua.. na tunaelewa unapata posho kwa Kila ukiandika... Lakini subirini watu kama nyinyi kitu kizito kinawakaroribia
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hamza Johari: Kikatiba, nafasi ya Nchimbi ilikoma baada ya kuvuliwa uanachama CCM

    Yako wewe umeipata wapi? Au ukiwa mbobezi wa kubeba box una qualify kuwa mwanasheria ndiyo maana unambeza mtu aliyekaa darasani. Mr knows English?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Kwa hivyo maria Sarungi yeye ni raia wa Hungary? Kwani hiyo ndiyo asili ya mama yake
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Post ya kipuuzi kabisa. Ita make sense kwa Nini umeiandika kama huyo so called muwekezaji atakuwa mumeo au basha wako!
  5. K

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    N siyo.mwisho wa akili yako ilipokufikisha?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Subiri matusi yatakayokuja .. Somo 101 la kuwa mwana chedema nomkufundishwa.matusi then Heche is always right..... Kijana umeelezea vizuri anajiona yeye ndiyo Kila kitu. Kumbe ni failure
  7. K

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Wacha uwiingo huo wapi walipogwa risasi.. wasanii Gani waliosimama na uma. Tatizo chadema mnajimilikisha umma huku mkijua wazi ni wapuuzi wachache TU.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Je kwako wewe ni maneno ya biblia na Qur-an? Hivi nani aliyekupeni authority na kuongea ya kuwa nyinyi ndiyo mko right hata kama pumba... Huoni kama huo ni ukosefu wa akili?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Haki Gani anayoitetea? Baada ya kuwa kibaraka.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Nani anayesema ya kuwa Heche na Lisu wanapigania haki? Kwa Nini ulazamisha mpuuzi heche anapigqnia haki? Haki Ili? Ya kutukana watu.?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    From Halis Max Facebook Page. Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa ✍️ Watu wa football mpo wapi? Wanahabari na Majukwaa yetu mmelala? Wasanii mnaogopa kutukanwa mitandaoni? Football ipo kabla ya Uhuru wa Nchi hii,Yanga na Simba zimeanza...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wizara zipi si za kimuungano?

    Una uhakika Gani kama Mimi Mzanzibari? Mimi Niko open minded tu bro.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Wizara zipi si za kimuungano?

    Hicho kipengele mliwekewa kisu shingoni.? Articl of union Aliyekuwa na nguvu nayo kubwa sana Ni Mwalom Nyerere. Sasa unavyoongea as if ZNZ ndiyo walio draft hiyo article of union na wakakulazimisheni kuvikubali...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Wizara zipi si za kimuungano?

    Soma kipengele Cha 9. Utumishi katika serikali ya jamuhuri ya Muungano. Na hakikusema utumishi kwenye serikali ya Tanganyika au T.bata. kwa minadhili hiyo mzanzibari ana haki ya kuajiriwa T. Bara
Back
Top Bottom