Wewe unaongozs kuuleta post za kipuxi hapa.. na wewe si mbaguzi lakini ni ujinga ndiyo unaokusumbua.. na tunaelewa unapata posho kwa Kila ukiandika...
Lakini subirini watu kama nyinyi kitu kizito kinawakaroribia
Subiri matusi yatakayokuja .. Somo 101 la kuwa mwana chedema nomkufundishwa.matusi then Heche is always right.....
Kijana umeelezea vizuri anajiona yeye ndiyo Kila kitu. Kumbe ni failure
Je kwako wewe ni maneno ya biblia na Qur-an?
Hivi nani aliyekupeni authority na kuongea ya kuwa nyinyi ndiyo mko right hata kama pumba... Huoni kama huo ni ukosefu wa akili?
From Halis Max Facebook Page.
Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa ✍️
Watu wa football mpo wapi? Wanahabari na Majukwaa yetu mmelala? Wasanii mnaogopa kutukanwa mitandaoni?
Football ipo kabla ya Uhuru wa Nchi hii,Yanga na Simba zimeanza...
Hicho kipengele mliwekewa kisu shingoni.? Articl of union Aliyekuwa na nguvu nayo kubwa sana Ni Mwalom Nyerere. Sasa unavyoongea as if ZNZ ndiyo walio draft hiyo article of union na wakakulazimisheni kuvikubali...
Soma kipengele Cha 9. Utumishi katika serikali ya jamuhuri ya Muungano. Na hakikusema utumishi kwenye serikali ya Tanganyika au T.bata. kwa minadhili hiyo mzanzibari ana haki ya kuajiriwa T. Bara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.