Mkuu hebu tupe hicho kifungu kinachosema hivyo au ni tafsiri yako na Lissu? kuna Atafukuzwa ambayo mimi nafahamu iko kwenye katiba ya CDM ila Kujifukuzisha ndo nasikia kwenu.Kama ni Tafsi sawa ndo maana Mdee nae akawa na tafsiri yake ila kama katiba inasema kujifukuzisha automatic then Mdee...
Ongeza fitana mkuu,unakaribia kufanikiwa siku hizi Selasini ametengwa kwasababu ya fitina zako.
Simama kwa miguu yako kwani lazima ufitinishe watu ndo ufanikiwe?
Uwezo wa kusimama unao kwanini unaamua kutumia mbinu chafu namna hizi? Mwisho wa Wanachi wa Rombo ndo wataamua Mbunge hatakama Ufipa...
[FONT=Verdana]
Ushauri mzuri sana kwa vijana tujifunze kujua tabia za wanasiasa UTU kwa wanasiasa ni MSAMIATI.wapo vijana wengi wametumika na kuachwa desperate,wamepoteza ndoto zao na kukata tamaa.
Dah inasikitisha hivi ni kweli unautaka huo ubunge kupitia CDM? Hivi si wewe walikukana au?
Kuna mawili mkuu kama walikukana ni ndoto kupitishwa utachafua taswira ya chama,Pili unaweza kupitishwa kwa kufanikisha mpango wa viongozi kama zawadi na kifuta machozi.
Huu ni unafiki wa hali ya juu hivi Mnyika anaunga mkono ukomo wa vipindi vitatu vya ubunge vipi kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama chake ambayo katiba yao imeruhusu kuzeekea madarakani.
dhana hiyo hiyo iliyotumika kuweka ukomo wa wabunge itumike kuweka ukomo wa mwenyekiti wa chama chao.
Kweli...
Toka 2007 diwani na mbunge wake wamekua wakiapa kuleta maji,kurudisha soko na kukarabati soko la vyakula ambalo kila siku linazidi kushuka kiwango.huu ni utapeli wa Ndesa kwa watu wa kiboriloni.hakuna cha maana amewafanyia zaidi ya kuwafanya punda vijana wa kiboriloni.
Tanzania plans biometric voter listing for 2015 General ElectionBy ALEX BITEKEYE for The Citizen | Tuesday, April 16 2013 at 11:52Plans are underway to introduce biometric voter registration for Tanzania's 2015 General Election, the country's National Electoral Commission (NEC) said Monday...
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), imepata pigo baada ya Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA), kuizuia isitoe zabuni za kuandaa vifaa vya uchaguzi vya kielektroniki kwa kampuni za M/S Jazzmatrix Cooperation na M/S Invu IT Solution zenye thamani ya sh bilioni 126.3.
PPAA imefikia...
Tatizo vijana wengi hatufatilii mambo.hivi kweli hujawahi kusikia marekebisho ya daftar la kupigia kura kwamba umesikia baada ya M4C OPD? Nikukumbushe unakumba hoja ya Zitto kuhusu NEC ilikua nini kwenye bunge lililopita? Ilikua ni NEC kumpitisha mzabuni ambaye atafanya Digital Voters Registration.
CDM ni chama cha watanzania haku mwenye hakimiliki ya hichi chama japo Kuna waasisi.Go go Zitto I support U.naomba kushirikishwa kwa ukaribu sana kwenye hii movement ya kuondoa wahafidhina ndani ya chama.hatuwezi kupambana na ufisadi wakati sisi ni mafisadi M4C ndani ya CDM tunahitaji mabadiliko...
CDM ni chama cha watanzania haku mwenye hakimiliki ya hichi chama japo Kuna waasisi.Go go Zitto I support U.naomba kushirikishwa kwa ukaribu sana kwenye hii movement ya kuondoa wahafidhina ndani ya chama.hatuwezi kupambana na ufisadi wakati sisi ni mafisadi M4C ndani ya CDM tunahitaji mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.