mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake sasa yy kuja manyara kanikuta naishi na mwanamke akaondoka nimemuomba msamaha kuwa nimemuacha yule...
Mke wangu nimemfumania mara 2 na marafiki zangu, nilipomuuliza akaanza kunitukana na kunieleza kwamba nimelala na mama yake mzazi wakati simjui hata kwa sura kwani wakati tunaoana mwaka 2009 mama yake alishafariki mwaka 2003.
Nifanyeje nimyonge au nijinyonge au nimsamehe au niondoke nikaanze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.