Recent content by kiwawira

  1. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwl njoo manyara wilaya ya mbulu kama uko tayari nipm kuwa mshiko unahitaji Tsh.Ngapi?
  2. K

    Nifanyeje?

    Mwanamke nampenda sana lakini hanitaki ila anapenda kuwa na mimi muda mwingi hata kazi anapenda nimsaidie ananifuata.
  3. K

    Natafuta mchumba

    Njoo Mbulu Utawapata Hao Yeyote
  4. K

    Bahati nasibu

    ahsante bibie
  5. K

    Special kwa wadada wa mmu wenye mambo haya

    MAPI umesema kweli hawana hata mvuto halafu
  6. K

    Special kwa wadada wa mmu wenye mambo haya

    passion lady hujaachaga tu utani wako?JAJU nimerudi kivingine kwa jina jipya baada ya kupotea kwa muda
  7. K

    nisaidieni jamani

    mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake sasa yy kuja manyara kanikuta naishi na mwanamke akaondoka nimemuomba msamaha kuwa nimemuacha yule...
  8. K

    Natafuta a real man wa kula naye bata.

    mimi vigezo vyote ninavyo tena nina ajira serikalini kama uko tayari nipm
  9. K

    Siwezi kuishi naye

    Mke wangu nimemfumania mara 2 na marafiki zangu, nilipomuuliza akaanza kunitukana na kunieleza kwamba nimelala na mama yake mzazi wakati simjui hata kwa sura kwani wakati tunaoana mwaka 2009 mama yake alishafariki mwaka 2003. Nifanyeje nimyonge au nijinyonge au nimsamehe au niondoke nikaanze...
Back
Top Bottom