Recent content by KiwandaniTz

  1. KiwandaniTz

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Jamani poleni na kazi, baada ya kufanya biashara ya dagaa kwa muda fulani kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam nataka nipanue wigo wa kupeleka mkoani Songwe mpakani mwa Tanzania na Zambia (Tunduma) Lakini kabla sijapata kwanza nilitaka nipate mawasiliano ya watu au wanunuzi wa dagaa kwa bei ya...
  2. KiwandaniTz

    Kuanzisha biashara ya service ya magari

    Sawa sawa,ila pia humu wapo.
  3. KiwandaniTz

    Kuanzisha biashara ya service ya magari

    Naomba kuuliza jamani nataka kuanza biashara ya kufanya service za magari, anaejuwa vitu vya au vifaa vinavyo hitajika kuanzisha hii biashara. Munielewe sio GERAGE. Nitashukuru kwa yoyote mwenye uwezo wa kunielezea.
  4. KiwandaniTz

    Utofauti wa mita za maji

    maana idara ya maji wanasema nibadili jina la mita kuwa ya biashara
  5. KiwandaniTz

    Natafuta ajira katika Sekta ya Afya nipo Kanda ya Ziwa

    Natafuta kazi idara ya afya nimesoma shahada ya UKUNGA (Bachelor of Science in Midwifery) nipo tayari kufanya kazi Kanda ya Ziwa. Naweza kufanya kufundisha chuo cha afya au kufanya kazi hospitali. Mawasiliano 0714513631 Inbox me
  6. KiwandaniTz

    Utofauti wa mita za maji

    asante sana mkuu, nilifikiri labda ya biashara ni ghari sana
  7. KiwandaniTz

    Utofauti wa mita za maji

    Poleni na majukumu. jamani anaeweza kuniambia u tofauti kati ya mita ya biashara na ya nyumbani ya maji kwenye upande wa malipo wa uniti za maji.au hamna utofauti . Natanguliza shukrani
  8. KiwandaniTz

    Matajiri wa asili ya Tanzania

    Bana likasi, wewe jama unajuwa sanaa,, unaitwa dkt nani mkuu
  9. KiwandaniTz

    Matajiri wa asili ya Tanzania

    hakika hii nayo point mkubwa mkuu
Back
Top Bottom