Recent content by kiwaliwangu

  1. K

    Magufuli Si lolote si chochote kwa Mfumo wa CCM

    Tangu kampeni za uchaguzi mkuu zianze rasmi, mgombea wa Urais wa CCM ameonyesha kukerwa na ubovu wa mambo mengi katika jamii katika nyanja za afya, elimu, miundombinu n.k ambao umetokana na mfumo wa utawala ulioko kwa zaidi ya nusu karne sasa. Mheshimiwa anatueleza kuwa anaujua ubovu huo na...
  2. K

    Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

    Some leaders are made while others are born like FREEMAN
  3. K

    David Kafulila live ndani ya HotMix - EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond

    Ukweli una nguvu kuliko watu wanavyofikiri. Hata ukichelewa kujulikana hatimae utashinda
  4. K

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Siasa sio uadui. Tumejenga utamaduni wa kuachiana uongozi kupitia chama kimoja. 2015 tutaanza kuachiana uongozi kupitia vyama. Tutaelewana na tutazoea kama Democrats na Republicans huko Marekani. Hakuna sababu ya kuogopa.
  5. K

    Jamani CCM wameanza tena propoganda zao chafu za sms, hebu angalia hii

    CHADEMA hawana sababu ya kuikataa serikali ya JK ambayo imeshafika mwisho wake. Kana kuna unabii kuwa haitafikia mwisho mwema, basi itakuwa hivyo bila ya kuwepo maandamano ya kuipinga. Inaonekana CCM wamekubuhu katika kutumia pesa ili kufikia malengo yake ya kisiasa
  6. K

    Kweli CCM Tunachukiwa!

    Wanachama wa CCM msijidanganye. Miaka 54 kwenye utawala bado ninyi na sisi tunakunywa maji ya malambo pamoja na ng'ombe. Hamchukiwi ila utawala wenu umechokwa.
  7. K

    Lowassa ni sawa, je mko tayari kulinda kura za UKAWA mbele ya mabomu na maji ya kuwasha?

    Huwezi kuishinda nguvu ya umma kwa mtutu wa Bunduki. Sauti ya umma ni sauti ya Mungu
  8. K

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Wakati wa Mungu ukifika hakuna awezae kuzuia
  9. K

    Uanasiasa wa Lowasa ni mashaka matupu.

    Bila shaka tangia 1997, wote waliokuwa wanamteua wlimjua kuwa ni mwanasiasa
Back
Top Bottom