Recent content by Kiviruge

  1. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wangu kwa mimi mama mkwe ni halali na huwa wanakuwa watamu sana

    Upimwe akili mkuu tukikuwahi unapona
  2. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    Ambacho wengi hawajui ni kwamba thamani ya fedha hupimwa na yale ambayo fedha husika inaweza kufanya ndani ya nchi husika,mfano tsh elfu kumi ya tz ni sawa na 520 hv ya kenya. Kwa Tanzania hyo elfu kumi unaweza kununa mojawapo kati ya hivi: -mchele kg4 -unga kg 8 na chenji inabaki -full plate ya...
  3. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Unataka kumsaidia kuchanganyikiwa😹😹
  4. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Mchumba ananilazinisha tufanye ngono kabla ya ndoa mie nimemkatalia

    Yani ni shida juu ya shida🤣🤣
  5. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Kinachowafanya mlie kwenye msiba ni nini kama sio unafiki na kujidanganya?

    Hauwezi kushindana na nature ndg,mambo ambayo mungu aliruhusu yawepo wewe huwezi kuyabadili nakusema hayana maana
  6. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Kinachowafanya mlie kwenye msiba ni nini kama sio unafiki na kujidanganya?

    Bandiko lako halina mashiko kama vipi usile wala kunywa maji,kataa maumivu ya kubanwa na haja na pia epuka gharama za kulipia huduma hizo
  7. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnajiamini sana aisee

    Asituchoshe aisee
  8. Kiviruge

    JamiiForums Tanzania Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

    Tulikubaliana kabla ya kuoa uwe unamzidi mwanamke kila kitu why akupige nawewe unapigika?? Any way umepoteza sifa ya kua mwanaume mpaka mkeo kakupendekezea maamuzi ya kufanya nawewe bado unakuja jf kuomba ushauri?
Back
Top Bottom