Wenyewe uzazi tuwe makini sana na watt wetu.
Kiukwel mm ninaushaidi wa mtt wa jamaa yng.
Kuna shhule iko maeneo ya sombetin Arusha yule alikuwa ana pumuliwa kisogoni na wenzake
Nilipata kajikaz pale AR
Nikaonelea niende kujistiri kwa jamaa yng siku moja nilipokuwa narud kutoka kwenye kibarua...
Mm nafanyabiashara ya gas napata faida kati ya laki tano mpaka milion kwa siku ila madeni yamenizidi kama kuna mtu anataka kujua zaidi na anapesa anitafute aje tujadiliane tupige kazi
Nafanya biashara napata faida kati ya lak2 mpaka lak5. Kwa siku ila sipati maendeleo naongeza maden kwa matumiz yangu
Unakuta napata matatizo hasiyoepukika. Kama ugonjwa. Mara magar kuharbia yanayozungusha hiyo biashara na mm niko mweupe je natakiwa kufanya nn?
Kwanza Magu bila upinzan asingekuwa hapo nchi ingeendelea kuongozwa na wanafamilia na hili halipingiki lilikuwa wazi mipango ya wapinzan ilifanya sisiem kubadili gear angan na ndio jamaa ikawa gear no 5 sasa anasahau waliomuweka madarakan ni hao wapinzan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.